Hizi hapa fani zinazopendwa na wengi vyuo vikuu

Dar es Salaam. Wakati dirisha la kuomba udahili kwa wanafunzi wa vyuo vikuu likifunguliwa rasmi, takwimu zinaonyesha fani nne ndiyo zinazopendwa zaidi na wanafunzi. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) zilizotolewa Mei 2025, takribani asilimia 70 ya wanafunzi waliojiunga na vyuo vikuu mwaka 2024/2025  walichagua masomo ya biashara, elimu, sayansi…

Read More

Mwenyekiti Soka la Wanawake Mbeya afariki dunia

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Soka la Wanawake Mkoa wa Mbeya (MWFA), Atupakisye Jabir, amefariki dunia leo Aprili 3, 2025 wakati akipatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Atupakisye ameongoza chama hicho kwa takribani miezi tisa huku akiwa kiongozi wa kwanza wa nafasi hiyo kikatiba na kuacha historia ya kusimamia vyema…

Read More

Kombe lampa mzuka kocha Pamba Jiji

SAA chache tangu Pamba Jiji itwae kombe ikiwa Kenya mbele ya wenyeji wao, Shabana FC, kocha mkuu wa timu hiyo, Francis Baraza amesema kikosi hicho kipo tayari kwa mechi ya kwanza wa Ligi dhidi ya Namungo itakayopigwa Septemba 18. Pamba Jiji iliyotwaa taji hilo kwa penalti 5-4 baada ya sare ya mabao 2-2 itaanza Ligi…

Read More

Beki Al Ahli Tripoli amuomba radhi Deborah Simba

Beki wa Al Ahly Tripoli ya Libya, Thienry Manzi amemuomba radhi kiungo wa Simba, Deborah Fernandez, baada ya kumuumiza kwenye mchezo wa jana wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya mtoano. Tukio hilo lilitokea kipindi cha pili ambapo Manzi alionekana kumkanyaga Deborah baada ya wawili hao kuangushana wakati wanawania mpira. Kwenye tukio hilo licha ya…

Read More