Tabora United kuja kivingine Ligi Kuu

KIKOSI cha Tabora United kimeingia kambini kujiwinda na mechi mbili za Ligi Kuu Bara zilizosalia kumalizia msimu huu, huku kocha mkuu Simonda Kaunda akieleza kuwa hali ya timu na wachezaji wako fiti. Timu hiyo imebakisha mechi mbili kufunga msimu huu ambapo Juni 18 itakuwa ugenini kucheza dhidi ya Azam huku ikiwa na kumbukumbu ya kushinda…

Read More

Ally Salim apewa mmoja Dodoma Jiji

KIPA mpya wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongezewa mwingine endapo akionyesha kiwango cha juu kuisaidia timu hiyo. Kigogo mmoja wa timu hiyo (jina tunalo) alisema sababu ya kumsainisha kipa huyo mwaka mmoja ilitokana na muda mfupi wa kufanya makubaliano ya baadhi ya mambo, hivyo wakaona bora…

Read More

Rais wa Baraza Kuu ahimiza hatua za pamoja zichukuliwe dhidi ya Sudan huku mzozo ukiongezeka – Masuala ya Ulimwenguni

Alikuwa akizungumza katika mkutano wa Bunge ulioitishwa kufuatia matumizi ya kura ya turufu na Urusi katika mkutano huo Baraza la Usalama mapema mwezi huu. Kura hasi ya mjumbe huyo wa kudumu wa Baraza ilizuia kupitishwa kwa rasimu ya azimio ambalo lingeimarisha hatua za kulinda raia na kuongeza ufikiaji wa kibinadamu kote Sudan. Nchi imekuwa katika…

Read More

Mh.Sillo awajulia hali majeruhi wa ajali mkoani Manyara

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Daniel Sillo amesema Serikali itaendelea kuwachukulia hatua za Kisheria madereva wote wasiotii na wanaokiuka sheria za usalama barabarani.   Mhe Sillo amezungumza hayo leo Agosti 31,2024 alipofika kuwajulia hali wanafunzi 30 wa shule ya sekondari Endasaki waliolazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Manyara baada…

Read More

WANANCHI MKOA WA MARA WATAKIWA KUTUMIA KWA USAHIHI MIKOPO

Na. Peter Haule na Josephine Majura, WF, Mara Katibu Tawala Mkoa wa Mara Gerald Kusaya amewataka wananchi wa mkoa huo kutumia mikopo inayotolewa na Serikali kwa manufaa na kuirejesha kwa wakati ili iweze kuwanufaisha wengine wenye uhitaji. Rai hiyo imetolewa Mkoani Mara, alipokutana na kufanya mazungumzo na Timu ya Wataalamu ya Elimu ya Fedha kutoka…

Read More

Vipeperushi vyatangaza mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, viongozi watua Dodoma

Dar es Salaam. Wakati vipeperushi vikisambaa kwenye mitandao ya kijamii vikieleza kuhusu mgomo wa wafanyabiasha Kariakoo kuanzia Jumatatu, Juni 24 2024, uongozi wao umewataka kuwa watulivu, ukisema tamko litatolewa siku hiyo. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Karikaoo, Martin Mbwana akizungumza na Mwananchi leo Juni 22, 2024 amekiri kuona vipeperushi hivyo, akieleza hiyo ni hasira…

Read More

Washtakiwa wapiga makofi wakihukumiwa faini ya Sh40,000

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu Watanzania 64 kulipa faini ya Sh40,000 kila mmoja au kwenda jela miezi sita, baada ya kupatikana na hatia ya kuondoka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwenda Afrika Kusini bila kufuata taratibu za uhamiaji. Waliohukumiwa adhabu hiyo katika kesi ya jinai namba 31302 /2024 …

Read More