Ujenzi madaraja King’ori Arusha kuondoa kero, kuokoa maisha

Arusha. Kufuatia tukio la Aprili 25, 2023 lililosababisha vifo vya watu wanne wa familia moja baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko katika eneo la King’ori, wilayani Arumeru, Serikali imeanza ujenzi wa madaraja mapya kama hatua ya kudumu ya kukabiliana na maafa na changamoto za miundombinu. Madaraja hayo mawili, yanayojengwa katika eneo hilo ambalo…

Read More

Samia: Vijana msikubali kurubuniwa kuharibu amani ya nchi

Geita. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka vijana nchini kutokubali kurubuniwa kwa namna yoyote kuharibu amani ya Taifa, na badala yake amewataka wawe wazalendo na kuipenda nchi yao. Mbali na wito huo, mgombea huyo ametoa ahadi mbalimbali kwa wananchi katika Mkoa wa…

Read More

PROF. KITILA MKUMBO NA KAIRUKI WAREJESHA FOMU

:::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Professa Kitila Mkumbo leo Agosti 27, 2025 amerudisha fomu yake ya uteuzi wa kugombea kwenye jimbo hilo ili kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi(INEC). Kitila ambaye amekuwa Mbunge wa jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 leo amerejesha fomu baada ya kuichukua Agosti…

Read More

Dante mbioni kutua Kagera Sugar

BAADA ya aliyekuwa beki wa kati Andrew Vincent ‘Dante’ kuachana na KMC kutokana na mkataba kumalizika, kwa sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho ya kujiunga na Kagera Sugar. Dante aliyeitumikia KMC kwa miaka mitano, huku akizichezea pia Yanga na Mtibwa Sugar kwa nyakati mbalimbali, anafanya mazungumzo hayo ya kujiunga na Kagera Sugar ambayo kwa msimu…

Read More

CCM: Hatutakata majina Uchaguzi Mkuu Oktoba

Sengerema. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, hakuna mgombea atakayekatwa jina lake bali watateuliwa wale wanaokubalika na wananchi pekee. Chama hicho kimewasisitiza wajumbe wake kusikiliza sauti ya wananchi na kutowapitisha watu ambao hawakubaliki na wananchi, hususan wale wanaotumia fedha kupata madaraka. Kauli hiyo ilitolewa jana jioni Juni 24, 2025…

Read More

Wiliam Edgar hajatimiza malengo | Mwanaspoti

NYOTA wa Fountain Gate, Wiliam Edgar amesema pamoja na kufanikiwa kuibakisha timu Ligi Kuu, lakini malengo yake hayakutimia akitoa matumaini yake msimu ujao. Edgar ambaye alikuwa na kiwango bora kikosini hapo akitupia mabao sita, anakumbukwa kwa historia yake ya kuipandisha Mbeya Kwanza kucheza Ligi Kuu Bara 2022-2023 na kinara wa mabao Ligi ya Championship msimu…

Read More