WAJA ATOA SADAKA KWA MISIKITI 65 GEITA MJINI

Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura, ametoa tende kwa misikiti 65 iliyopo katika jimbo lake ikiwa ni sadaka kwa waumini wa dini ya Kiislamu wanaoendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza wakati wa zoezi la kugawa tende hizo, Mbunge Wambura amesema amefanya hivyo kama sehemu ya sadaka yake kwa waumini wa…

Read More

Duchu apewa mikoba ya Tshabalala Simba

BAADA ya Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta ‘Duchu’.  Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa Simba, msimu ujao atakuwa na kikosi cha Yanga alichojiunga nacho akiwa mchezaji huru. Mikoba aliyokabidhiwa Duchu si unahodha, bali ni jezi namba 15 aliyokuwa akiivaa…

Read More

CCM KUENDELEA NA KAMPENI SONGWE KESHO

…………. Wananchi na wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kwa wingi kuonesha imani yao kwa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea kote nchini ambako kesho anatarajia kufanya Kampeni katika mkoa wa Songwe.  

Read More

VITA MASHARIKI YA KATI: Tujipange, bei ya mafuta kupaa

Dar es Salaam. Mpaka sasa vita vya Mashariki ya Kati vinavyohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran vimegharimu maisha ya watu wengi katika mataifa hayo, lakini kwa Afrika vinang’ata kwa namna yake, ikiwemo kupanda kwa bei na changamoto ya upatikanaji wa mafuta. Tayari bei ya mafuta imepanda hadi kufikia karibu Dola 100 za Marekani jana,…

Read More

Saa moja ya Zuchu jukwaani kwa Mkapa

Takriban saa nzima ya Zuhura Othuman maarufu Zuchu katika tamasha la Wiki ya Mwananchi imetosha kutoa burudani ya aina yake kabla ya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Bandari FC. Zuchu ametumia majukwaa manne tofauti akiimba nyimbo zake zaidi ya sita, huku akimrudisha jukwaani kwa mara ya pili D Voice kuimba naye…

Read More