DUWASA YASHUKURU WANANCHI NZUGUNI WALIOJITOLEA MAENEO YA MRADI

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph amesema kukamilika kwa asilimia 98 ya mradi mkubwa wa maji wa Nzuguni uliyogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.3 na kuanza kutoa huduma kwa wananchi tangu Disemba 23, 2023 ni mafanikio yaliyochangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wananchi waliyojitolea maeneo…

Read More

Jeuri ya Gamondi Yanga ipo hapa

UMELIONA benchi la ufundi la Simba lililovyoshiba watu? Nenda Azam pia wana watu wa maana lakini hao wote kuna vichwa vitatu tu vinawakimbiza sana kutoka pale kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga. Timu hizo kubwa zote zimejikuta zikiumia mapema wakati msimu unataka kuanza wakipokea vipigo lakini kuna jambo moja tu limewashinda kutoka Yanga….

Read More

Hali mbaya nyumba za Magomeni kota

Dar es Salaam. Usingedhani kwamba nyumba iliyotumika kwa miaka mitatu, ifanane na iliyodumu kwa muongo mmoja. Huu ndio uhalisia wa nyumba za wakazi 644 wa Magomeni Kota, jijini Dar es Salaam.  Si hivyo bali hata ile bustani iliyopambwa kila upande, ikiwemo eneo la mbele ya majengo hayo, haionekani tena baada ya wakazi hao kugeuza njia…

Read More

'Hakuna Wakati wa Kupoteza' huko Gaza, kwani kusitisha mapigano kunapeana mabadiliko dhaifu – maswala ya ulimwengu

UN ni mbio dhidi ya wakati kupanua misaada ya kibinadamu na kujiandaa kwa kazi kubwa ya kujenga tena Gaza, kama kusitishwa kwa joto kunashikilia lakini mvutano unakua juu ya uwezekano wa mapigano. “Hakuna wakati wa kupoteza,” mkuu wa ofisi anayehusika na juhudi za ujenzi wa UN (UNOPS), Jorge Moreira da Silva, Wakati wa mkutano huko…

Read More