PROGRAMU YA VISIMA 900 NCHINI KUONGEZA HALI YA UPATIKANAJI MAJI WILAYA YA LINDI, RUWASA WACHIMBA 9.
JUMLA ya visima 9 kati ya 10 vya maji safi na salama vimechimbwa Wilayani Lindi na Wizara ya maji kupitia kwa wakala wa maji na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa)Wilayani humo ikiwa ni utekelezaji wa programu ya uchimbaji visima 900 kwa nchi nzima. Programu hiyo inalenga kuhakikisha zaidi ya asilimia 85 ya wananchi wa maeneo…