Tuimarishe Lishe, Tupunguze Magonjwa Sugu

…………… NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amewataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuimarisha hali ya lishe nchini ili kupunguza kasi ya kuenea kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Amesema ulaji usio faa na mitindo mibaya ya maisha vimechangia kuongezeka kwa magonjwa…

Read More

Asimulia alivyokwama kwa saa 72 chini ya kifusi Kariakoo

Dar es Salaam. Mfanyabiashara wa soko la Kariakoo, Benedicto Mwanalingo (26) mkazi wa Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam amesimulia namna alivyoishi chini ya kifusi kwa siku tatu, sawa na saa 72 bila kula wala kunywa. Mwanalingo ambaye ameruhusiwa kurudi nyumbani baada ya kupatiwa matibabu, amesema alikuwa akijigeuza upande mmoja kwa mwingine mpaka alipofikiwa na…

Read More

Dk. Gwajima: Wanawake na wanaume wanategemeana

Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. Dorothy Gwajima, amesema wanawake na wanaume wanategemeana katika kazi ili kuleta maendeleo endelevu. Waziri Dk. Gwajima amesema hayo wakati akifungua mkutano wa kwanza wa mtandao wa wanawake wa Jeshi la Magereza nchini, uliofanyika leo Septemba 02, 2024 jijini Dodoma. Amebainisha kuwa,…

Read More

Mzigo Mkubwa Upo Meridianbet Leo na Europa League

MECHI za Europa League zinaendelea leo hii huku nafasi ya kutusua na Meridianbet ikiwa nje nje. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia na ubashiri sasa. AS Roma atakipiga dhidi ya Midtjylland ambao mpaka sasa ndio vinara kwenye msimamo huo wa Europa wakiwa na pointi zao 12, huku mwenyeji yeye akiwa na…

Read More

Benki ya Dunia yaridhisha maradi wa HEET chuo Kikuu Mzumbe

Benki ya Dunia imeonesha kuridhishwa na hatua za utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa majengo ya kisasa pamoja na kituo cha kuendeleza ubunifu (incubation center) katika Chuo Kikuu Mzumbe. Mradi huu, unaogharimu shilingi bilioni 13.2, unalenga kusaidia kukuza elimu ya juu kwa kuongeza fursa za udahili na kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunza chuoni hapo….

Read More

JWTZ kutoa matibabu bure kwa siku tano

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha miaka 60 ya kuanzishwa kwake, Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), litatoa huduma za upimaji na matibabu ya afya bila malipo kwa siku tano kuanzia kesho Agosti 26, mwaka huu. Huduma hizo kwa mujibu wa jeshi hilo, zitatolewa bure hadi Agosti 30, mwaka huu na Septemba Mosi, zitatolewa huduma za matibabu…

Read More

Lissu atoa msimamo pingamizi la kina Mnyika, Lema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amejitosa kuzungumzia sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi alioufanya wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu akisema haina mashiko yoyote. Barua hiyo ni ya kada wake, Lembrus Mchome, aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala kuituma…

Read More

Serikali yalipongeza TAG kwa kuimarisha makuzi ya watoto, vijana

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imelipongeza Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) kwa kujiimarisha kwenye misingi ya makuzi ya vijana na watoto na kulifanya kuwa endelevu. Kanisa hilo limehitimisha sherehe za maadhimisho ya miaka 85 tangu lilipoanzishwa mwaka 1939 na Wamisionari kutoka Marekani. Akizungumza leo Julai 14,2024 wakati wa kilele cha maadhimisho hayo…

Read More