Uchaguzi TOC wafutwa, Mtaka, Tandau kurudishiwa fedha

UCHAGUZI Mku wa Kamati ya Olimpiki uliokuwa ufanyike Desemba 28, umefutwa rasmi na Serikali. Mchakato wa uchaguzi huo ambao ulianza tangu mwezi uliopita nao umesitishwa na wagombea wote, kurejeshewa fedha zao za fomu. Wagombea hao ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka aliyekuwa akichuana na Makamu wa Rais wa TOC anayemaliza muda wake, Henry…

Read More

Mbeya City yaanza usajili Ligi Kuu Bara, Malale naye ndani

Timu ya Mbeya City imesema wakati ikiendelea na usajili, lakini upande wa benchi la ufundi imeshamalizana na Kocha Mkuu, huku ikikiri wapo wachezaji watakaoachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo matakwa yao. Pia imesema baada ya kufanikiwa kutimiza malengo ya kucheza Ligi Kuu msimu ujao, itaandaa sherehe Mei 31 kupongezana kutimiza malengo. Akizungumza leo Jumapili Mei…

Read More

Askofu Rweyongeza atema nyongo kwenye jubilei

Mwanza. Kanisa Katoliki limeitaka Serikali kuheshimu fani  ya ualimu na kurejesha hadhi yake ikiwamo walimu kulipwa mshahara unaolingana na wabunge na mawaziri au zaidi pamoja na kuwaondolea kikokotoo. Akizungumza leo Jumatano Machi 19, 2025 kwenye Jubilei ya miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Methodius Kilaini na miaka 53 ya upadri iliyofanyika Bukoba mkoani Kagera, Askofu …

Read More

Samia aweka hadharani hatua iliyofikiwa bima ya afya kwa wote

Arusha/Dar. Wakati Watanzania wakisubiri kwa hamu kuanza utekelezaji wa mpango wa bima ya afya kwa wote, Rais Samia Suluhu Hassan ametaja hatua iliyofikiwa katika mchakato huo, akieleza ni jambo zito. Mchakato ulianza kufanyiwa kazi miaka kadhaa iliyopita, ugumu ukiibuka katika maeneo kadhaa, likiwamo la ukusanyaji wa fedha za kuendesha skimu kuwezesha upatikanaji wa bima kwa…

Read More

Yusuph: CAF yapo mengi ya kujifunza

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Mbaraka Yusuph amesema licha ya kutolewa katika hatua za awali kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF), lakini hawajatoka patupu. Coastal ilitolewa katika mashindano hayo baada ya kufungwa nyumbani na ugenini jumla ya mabao 3-0 na Bravos do Maquis ya Angola, jambo ambalo mchezaji huyo kalichukua kama funzo la kujituma…

Read More

ETDCO YANG’ARA TUZO SEKTA YA UJENZI

Mwakilishi wa Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya ETDCO, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa kampuni hiyo, Mhandisi Dismas (wa pili kutoka kushoto), akipokea Tuzo ya Heshima ya Sekta ya Ujenzi kutoka kwa Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bw. Gaudence Mmassy. Tuzo hizo zimeandaliwa na Construction Times Gala and Award…

Read More

Diarra ashtua Yanga, Maxi, Chama majanga

YANGA imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa siku za karibuni baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi zake huku Ligi ya Mabingwa Afrika ikiburuza mkia Kundi A baada ya kukusanya pointi moja ikishuka dimbani mara tatu. Watetezi hao wa Ligi Kuu Bara na washindi mara nyingi wa taji hilo walilobeba mara 30, ukiachana na matokeo ya…

Read More