Josiah awapa saluti Lazaro, Ahmad Ally

KOCHA wa Tanzania Prisons, Aman Josiah amewataja makocha waliyofanya vizuri msimu ulioisha ambao ni Ahmad Ally wa JKT Tanzania na wa Coastal Union, Joseph Lazaro, akiwaweka kando wa timu zilizomaliza Top 4 katika msimamo wa Ligi Kuu. Alitoa sababu ya kwa nini Ally ambaye timu ilimaliza nafasi ya sita ikiwa na pointi 36 na Lazaro…

Read More

Simba yasitisha mkataba wa CEO wao, yamtaja mrithi wake

Uongozi wa Simba umetangaza kusitisha mkataba na Francois Regis raia wa Rwanda ambaye alikuwa Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo. Regis aliyetambulishwa klabuni hapo Julai 26, 2024 akichukua nafasi ya Imani Kajula, anaondoka akiwa amekaa kwa takribani miezi minne pekee tangu atambulishwe. Taarifa ya Simba iliyotolewa leo Novemba 23, 2024, imesema: “Tunapenda kuutarifu umma…

Read More

NOVATUS DISMAS AJIUNGA NA GOZTEPE SK YA UTURUKI

#MICHEZO Klabu ya Soka ya nchini Uturuki, Gozpete SK imefaikiwa kuinasa saini ya Mchezaji wa Kimataifa Mtanzania Novatus Dismas Miroshi kutoka klabu ya S.V. Zulte Waregem ya Ubelgiji kwa mkataba wa miaka minne. Leo nyota huyo ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa Klabu hio. Powered by @kobemotor @acbtanzania_ @vodacomtanzania @hisense_tanzania_official @betpawatanzania @wearekerry #KonceptTvUpdates

Read More

Rais Samia aomboleza kifo cha Nyamo-hanga, dereva wake

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-hanga pamoja na dereva wake, Muhajiri Haule kilichotokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda mkoani Mara. Rais Samia kupitia mitandao yake ya kijamii leo Aprili 13, 2025 ameandika: “Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya vifo…

Read More

Mstaafu mfichwa maradhi anapoumbuliwa Kinondoni

Siku chache zilizopita, mstaafu wetu wa Taifa, amemsikia waziri wetu mmoja wa siri-kali  akijibu swali lililoulizwa bungeni kuhusu wazee na  likamfanya kuamini kweli sasa  matibabu ya bure kwa wazee wa miaka 60 na zaidi, yameishia kuwa maneno kwenye kanga tu. Mstaafu wetu siku zote amekuwa akiamini maneno ya wahenga wetu kuwa,  mficha maradhi kifo kitamuumbua, …

Read More