Fountain yaanza na mshambuliaji | Mwanaspoti

TAARIFA zinadai kwamba uongozi wa Fountain Gate, umemalizana na aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Yusuph Athuman kwa kumpa mkataba wa mwaka mmoja. Mshambuliaji huyo anatua Fountaine Gate akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na timu ya West Armenia inayoshiriki Ligi Kuu Armenia ambayo alijiunga nayo Julai 2023. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Fountain Gate…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Dogo Sabri Kondo akili nyingi

TETESI ambazo tunazo hapa mtaani ni mchezaji bora wa mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 20 (Afcon U20) kupitia Kanda ya Cecafa, Sabri Kondo anamilikiwa na Singida Black Stars. Hivyo pale Coastal Union ambako ametambulishwa yuko kwa mkopo tu ambao utamalizika mwishoni mwa msimu huu…

Read More

Rais Samia azindua Kiwanda cha kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited Kigamboni Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited Bw. Chetan Chug wakati akikata utepe kuzindua Kiwanda hicho kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2024….

Read More

'Msisitizo Unapaswa Kuwa katika Kuwajibisha Kampuni za Mitandao ya Kijamii, Sio Kuwaadhibu Watumiaji Binafsi' – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Jumatatu, Oktoba 07, 2024 Inter Press Service Oktoba 07 (IPS) – CIVICUS inajadili marufuku ya hivi majuzi ya Twitter/X nchini Brazili na Iná Jost, mwanasheria na mkuu wa utafiti katika InternetLab, taasisi huru ya wanafikra ya Brazil inayozingatia haki za binadamu na teknolojia ya kidijitali. Hivi majuzi Mahakama ya Juu ya Brazil iliidhinisha…

Read More

Matumaini mapya ujenzi reli ya kisasa Mtwara-Mbambabay

Songea. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo katika mchakato wa kufanikisha ujenzi wa Reli ya Kisasa kutoka Mtwara hadi Mbambabay. Amesema ni kiu ya Serikali kufanikisha hilo ili kuendeleza ushoroba wa Mtwara utakaoiunganisha Tanzania na mataifa mengine jirani. Ingawa ujenzi huo si mchakato wa muda mfupi, amesisitiza lazima itajengwa kwa kuwa ndiyo dhamira ya…

Read More