Yanga yabakiza sita za ubingwa
Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuichapa kwa mara ya pili ndani ya Ligi Kuu Bara katika msimu mmoja kutokana na kushinda mabao 2-1, leo Jumamosi, huku ikibakisha kushinda mechi sita kati ya nane ili kutetea ubingwa wake. Yanga imeibuka na ushindi huo kutokana na mabao ya Stephanie Aziz Ki dakika ya 20, akifunga…