Kesho kicheko, maumivu | Mwananchi

Dodoma.  Mwaka mpya wa Serikali wa 2025/26 unaanza kesho Jumanne, Julai mosi, 2025 kwa bodaboda na wafanyabiashara kufurahia punguzo la tozo, ada huku wanywaji wa vilevi, wachezaji wa michezo ya kubashiri wakianza kuonja joto la kupanda kwa ushuru. Juni 24, 2025, Bunge lilipitisha bajeti ya Sh56.49 trilioni katika mwaka 2025/26. Bajeti hiyo inayoanza kutekelezwa kesho,…

Read More

MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA JUMUIYA YA TATHIMINI AFRIKA ( AfrEA ) WAFANYIKA ADDIS ABABA-ETHIOPIA

Na Mwandishi Wetu – Addis Ababa, Ethiopia TANZANIA imeshiriki Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Tathmini Afrika (AfrEA) yanayofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 16 hadi 18 Juni, 2025, katika Kituo cha Mikutano cha Umoja wa Mataifa (UNECA), jijini Addis Ababa, Ethiopia. Ujumbe wa Tanzania umeongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini,…

Read More

Simba yatambulisha chuma kipya kutoka Zambia

Simba imemtambulisha rasmi Joshua Mutale raia wa Zambia anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji kuwa mchezaji wao kwa miaka mitatu. Kiungo huyo aliyekuwa akikipiga Power Dynamos msimu wa 2023/2024 amefunga mabao matano na asisti tatu kwenye mechi 26 alizocheza. Mutale mwenye miaka 22 anamudu kucheza nafasi nyingi uwanjani tena kwa ufanisi kwani anaweza kucheza kama winga…

Read More

Askofu Kinyaiya atia neno kupumzika Dk Mpango

Dodoma. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya amesema alichofanya Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango kuamua kupumzika si cha kawaida kwa kuwa wengine wanang’ang’ania nafasi za uongozi. Januari 18, 2025 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza kukubali ombi la Dk Mpango kupumzika. Katika mkutano huo,…

Read More

MRADI WA UPANUZI WA KITUO CHA KUPOKEA NA KUPOZA UMEME CHA KINYEREZI I EXTENSION UMEKAMILIKA – NAIBU WAZIRI SALOME

************ 📌 Utaimarisha upatikanaji wa umeme Mbagala na Gongo la Mboto 📌 Majaribio yameanza; Shukurani kwa Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema kuwa mradi wa upanuzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Kinyerezi 1 Extension umekamilika rasmi, ikiwa ni pamoja na kufungwa kwa Transfoma yenye uwezo…

Read More

Mangalo apewa mwaka Pamba Jiji

BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa muda, beki wa zamani wa Biashara United na Singida Fountain Gate, Abdulmajid Mangalo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Pamba Jiji. Awali, beki huyo alikuwa anafanya mazungumzo na Mtibwa Sugar, lakini mambo hayakwenda vizuri sasa ni rasmi ataitumikia Pamba msimu ujao wa 2025-2026 unaoatarajiwa kuanza katikati ya Septemba….

Read More

ELIMU ZAIDI YAHITAJIKA KATIKA MATUMIZI YA KEMIKALI

Na Rosemary Celu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), George Katabazi, amezitaka Taasisi za Serikali na Binafsi kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusiana na matumizi sahihi na salama ya Kemikali. Kamanda Katabazi amesema hayo leo wakati akihitimisha kikao cha kuhitimisha awamu ya kwanza ya kampeni ya utoaji elimu kwa…

Read More

DKT BITEKO AKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI

*Ataja Mikakati ya Serikali Kuimarisha Sekta ya Nishati, Tanzania Inavyojiandaa Kuuza Umeme nchi Jirani na Uwepo wa Soko la Uhakika Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Singapore Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inawakaribisha wawekezaji katika sekta ya nishati ili kuongeza kasi ya usambazaji,…

Read More

 ‎Lissu ahoji mashahidi wake kuwekwa kando

‎‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameibuka na mapya akiilalamikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, pamoja na mambo mengine kwa kutokuorodhesha mashahidi anaokusudia kuwaita mahakamani katika kesi ya uhaini inayomkabili. Miongoni mwa mashahidi aliodai aliwataja lakini hawakuorodheshwa ni Samia Suluhu Hassan, Dk Philip Mpango na Kassim Majaliwa. Lissu…

Read More