Dk Mwinyi ataja anachojutia kutomueleza Charles Hilary

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema msiba wa Charles Hilary umemfundisha umuhimu wa kuwatambua na kuwapongeza wafanyakazi wakiwa bado hai. Amesema anajutia kutomweleza marehemu Charles Hilary kuwa alikuwa mfanyakazi mzuri, mzalendo na mwajibikaji. Dk Mwinyi ameeleza kwa masikitiko majuto yake kwa kutomwambia mapema marehemu Charles Hilary jinsi alivyokuwa akimthamini na kuvutiwa na utendaji…

Read More

Lissu alivyojipanga kutema nyongo leo kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini leo tena Jumatano, Agosti 13, 2025anapanda kizimbani, katika hatua ambayo Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) anatarajiwa kuweka wazi ushahidi atakaoutumia kwenye kesi hiyo, kama ataipeleka Mahakama Kuu. Kwa upande wake, Lissu anatarajiwa kuanza kujibu mapigo kwa kutema nyongo…

Read More

Picha ;Namna Mbappe alivyosherehekea birthday ya Hakimi

Kylian Mbappe alitumia Instagram kusherehekea miaka 26 ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa karibu Achraf Hakimi kitofauti. Mbappe alishiriki picha kadhaa zinazoangazia urafiki wao, ikiwa ni pamoja na picha ya kukumbukwa wakiwa pamoja kwenye Kombe la Dunia la 2022. Alisema “Happy birthday brother. Wish you the best as always. Love you. ❤️”

Read More

Wagonjwa 300 wa Mifupa Wapatiwa Huduma kwa Siku Moja Morogoro

Zaidi ya wagonjwa 300 wa mifupa wamepatiwa huduma kwa siku moja katika kambi maalum ya matibabu ya mifupa, inayotolewa na madaktari bingwa kutoka Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro. Akizungumza na wananchi waliokusanyika hospitalini hapo, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Kighoma Malima, amewahimiza wakazi wa…

Read More

Siku 637 za Manula, Simba, Yanga zaguswa Bara

KIPA Aishi Manula amerejea uwanjani akiea na jezi ya Azam. Kwa mara ya kwanza kocha Florent Ibenge alimtumia katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Desemba 3, 2025 dhidi ya Singida Black Stars na jamaa akatoka na clean sheet baada ya timu hizo kushindwa kufungana. Sasa kama hujui ni kwamba mechi hiyo ilihitimisha siku 637…

Read More