DC LUDEWA APOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA

Na Damian Kunambi, Njombe  Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amepokea msaada wa vifaa tiba mbalimbali vilivyotolewa na kampuni ya Kuambiana Investment ambavyo vimelenga kuhudumka kituo cha afya Kata ya Luilo na Manda ambapo miongoni mwa vifaa hivyo ni magodoro, vitanda, baiskeli za wagonjwa pamoja na mashuka. Akipokea msaada huo Mwanziva amempongea mkurugenzi wa…

Read More

Polisi Dar yathibitisha kumshikilia Dk Slaa

Dar es Salaam. Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanamshikilia aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema na balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbrod Slaa. Kamanda Muliro amethibitisha hayo leo Ijumaa Januari 10, 2024 kupitia kipindi cha Good Morning cha Wasafi. “Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye…

Read More

WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendela kuvuna wanachama wapya kutoka katika vyama vya upinzani, hali ambayo inaongeza idadi ya wanachama katika chama hicho ambao ni jeshi na moja ya karata muhimu katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla akiwa katika ziara…

Read More

Trafiki 168 wafukuzwa, wahamishwa kwa makosa ya kinidhamu

Dodoma. Askari wa usalama wa barabarani  168 wamechukuliwa hatua zikiwamo kushtakiwa kijeshi, kuhamishwa vitengo na kufukuzwa kazi, kutokana na makosa ya kinidhamu ikiwemo rushwa katika kipindi cha kuanzia Juni 2023  hadi Juni 2024. Mwanasheria wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani, Deus Sokoni ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa wiki ya usalama wa barabarani, inayoambatana na…

Read More

Zambia kuendelea kushirikiana na Tanzania kiuchukuzi

Dar es Salaam. Zambia imesema itaendelea kuwa mdau muhimu wa sekta ya usafiri na uchukuzi nchini Tanzania, ikibainisha kuwa  ushirikiano kati ya nchi hizo mbili umeleta matokeo chanya kiuchumi kwa wananchi wake na katika ukanda wa kusini mwa Afrika. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi ya Zambia, Fredrick Mwalusaka wakati wa uzinduzi…

Read More