MSOMERA WAMSHKURU RAIS SAMIA – Mzalendo

Wakazi wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wamemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo mbalimbali na uboreshwaji wa huduma katika kijiji hicho. Kwa nyakati tofauti, wakazi hao wamesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dk. Samia imefanya maendeleo makubwa katika kijiji…

Read More

Serikali yaipongeza St. Anne Marie kwa kufundisha kifaransa

  SERIKALI imeipongeza shule ya St Anne Marie Academy kwa kuanza kufundisha lugha ya kifaransa hivyo kupanua wigo wa ajira kwa wanafunzi watakaoifahamu lugha hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Mdhibiti Ubora Mkuu wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Elikana Manyilizu, wakati wa…

Read More

Uhamiaji yafafanua nyota Singida BS kupewa uraia Tanzania

Idara ya Uhamiaji imethibitisha kwamba wachezaji watatu wanaocheza Singida Black Stars, Emmanuel Kwame Keyekeh (Ghana), Josephat Arthur Bada (Ivory Coast) na Mohamed Damaro Camara (Guinea) wamepewa uraia wa Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Uhamiaji ni kwamba Keyekeh, Bada na Camara waliomba na kupewa uraia kwa mujibu wa vifungu vya 9 na…

Read More

SHUGHULIKIENI CHANGAMOTO KWENYE MAENEO YENU’

OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu ( Afya ) Ofisi ya Rais- TAMISEMI Dkt. Grace Magembe amewataka Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri pamoja na Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ya Msingi nchini kufanya kazi kwa uadilifu pamoja na kushughulikia changamoto zilizopo katika maeneo yao. Dkt. Magembe ametoa wito huo alipozungumza na viongozi hao katika…

Read More

Kesho kicheko, maumivu | Mwananchi

Dodoma.  Mwaka mpya wa Serikali wa 2025/26 unaanza kesho Jumanne, Julai mosi, 2025 kwa bodaboda na wafanyabiashara kufurahia punguzo la tozo, ada huku wanywaji wa vilevi, wachezaji wa michezo ya kubashiri wakianza kuonja joto la kupanda kwa ushuru. Juni 24, 2025, Bunge lilipitisha bajeti ya Sh56.49 trilioni katika mwaka 2025/26. Bajeti hiyo inayoanza kutekelezwa kesho,…

Read More