Madaktari wa India kuweka kliniki Dar

Dar es Salaam. Madaktari bingwa bobezi wanne kutoka Hospitali ya Apollo ya India wametua nchini kuweka kliniki katika Hospitali ya Kitengule iliyopo jijini hapa kushughulika na wagonjwa wanaosumbuliwa na maradhi yasiyoambukiza. Katika kliniki hiyo ya siku mbili kuanzia kesho Mei 30, 2024 utatolewa ushauri kwa wagonjwa wa moyo, ubongo na uti wa mgongo, mishipa ya fahamu,…

Read More

Mataragio: Changamoto ya kujaza gesi iishe

Dar es Salaam. Huenda msongamano kwa ajili ya kujaza gesi kwenye magari ukafikia ukomo baada ya Serikali kuagiza kituo mama kilichopo eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kikamilike mwezi ujao. Kukamilika kwa kituo hiki kutawezesha utendaji wa vituo vingine vidogo vinne vitakavyokuwa vikichukua gesi hapo kwa ajili ya kuhudumia magari katika maeneo…

Read More

Equity kushirikiana na TALEPPA kufufua sekta ya ngozi

Dar es Salaam. Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania (TALEPPA), hatua inayolenga kufungua minyororo ya thamani katika sekta ya ngozi na kuchochea mapinduzi ya kiuchumi kupitia uzalishaji wa viatu vya shule. Makubaliano hayo yameambatana na uzinduzi wa Mradi wa Viatu vya Ngozi vya Shule…

Read More

WAKONGO WAGOMA KUZIKA BINTI YAO

Mchungaji Kalanba Mukala Louis  ambaye ni baba wa marehemu  binti Berlis. Baba mdogo wa marehemu  Mchungaji  Enock  Ambroseo. Aliyekuwa Mwenyekiti  wa Jumuiya ya Wakongomani wanaoishi nchini Abdallah Serge. Na Mwandishi Wetu RAIA wenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Congo (DRC) wanaoishi nchini wameweka msimamo wao wa kugoma kuzika mwili wa binti Ngalula…

Read More

Askofu Malasusa ajitosa mauaji ya mtoto albino

Dar es Salaam. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa amewataka Watanzania kukemea vitendo vya mauaji ya watu wenye ualbino akisema havikubariki katika karne ya sasa yenye mwanga. Kauli hiyo ya Askofu Malasusa inatokana na kile kilichotokea Mei 30, 2024 cha mtoto Asimwe Novath (2) mwenye ualbino, kuporwa mikononi mwa…

Read More

Rais Samia azitaka Halmashauri kutoa huduma bora kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka Halmashauri kutumia ofisi mpya zinazojengwa katika maeneo yao, kuboresha maeneo ya kazi na kutoa huduma bora na kutakua kwa wananchi Akizungumza leo Septemba 25,2024 wakati akizindua jengo la ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma, amesema ofisi hizo zitumike…

Read More