Barbara arudi Simba, Mo akijivua uenyekiti wa bodi

Simba imefanya mabadiliko makubwa ya Bodi ya Wakurugenzi baada ya mwekezaji Mohammed Dewji ‘MO’ akijiweka kando, huku akimteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, ilihali CEO wa zamani wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akirejea klabuni. Mabadiliko hayo ambayo yametangazwa dakika chache zilizopita, MO mbali na Magori aliyewahi kuwa, Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo na mshauri wa…

Read More

Unajengaje ngome ya kihisia na usalama kwa mwenza

Katika ulimwengu wa sasa uliogubikwa na pilkapilka nyingi, ambapo muda umekuwa bidhaa adimu, uhusiano wa kimapenzi unajipata katika mtihani mzito. Watu wengi wanaishi chini ya paa moja lakini wapo mbali kihisia; wanashirikiana majukumu ya kifedha na malezi, lakini mioyo yao haigusani. Kujenga ukaribu wa kihisia na hali ya usalama si jambo linalotokea kwa bahati mbaya,…

Read More

LEO NI MAADHIMISHO YA SIKU YA FARU DUNIANI

 Picha za Matukio mbalimbali ya Maadhimisho ya siku Faru Duniani ambapo leo tarehe 22 Septemba 2025, Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Karatu, wadau wa Uhifadhi na Utalii na Wananchi wameungana katika Mbio za kilomita 5 katika mji wa Karatu zenye lengo la kuhamasisha shughuli za uhifadhi wa…

Read More

Mwalimu aahidi barabara ya lami Sengerema–Geita

Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimeahidi kuwa, kikichaguliwa kuunda Serikali baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025, kitahakikisha Jimbo la Buchosa linaunganishwa kwa barabara ya lami na Wilaya ya Sengerema pamoja na Mkoa wa Geita. Kwa sasa, wananchi wa Buchosa wanalalamikia ubovu wa miundombinu kutoka Nyehunge kwenda wilayani Sengerema, hali inayosababisha usafiri kuwa…

Read More