Simulizi ya Mtanzania aliyeshinda tuzo ya kimataifa ya Mohammad Ali

Dar es Salaam. Maisha uliyopitia yanaweza kujenga wazo linaloweza kukutambulisha duniani. Ndivyo ilivyo kwa Gibson Kawango, ambaye awali alitaka kuwezesha familia yake kupata nishati ya umeme, sasa anatambulika kimataifa na wengi wananufaika na ubunifu wake. Utambuzi huo ni kutokana na kuwezesha upatikanaji wa nishati ya umeme kwa kutumia betri mbovu za kompyuta mpakato kutengeneza mfumo…

Read More

Fursa ya miaka mitano kwa wanafunzi wa UDSM hii hapa

Dar es Salaam. Ni matumaini kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wa fani ya uhandisi wasiomudu gharama za masomo baada ya Kampuni ya Advent Construction Limited kuingia makubaliano na chuo hicho kufadhili wanafunzi watano kila mwaka. Makubaliano hayo yaliyosainiwa jana Alhamisi Aprili 25,2024 baina ya UDSM na kampuni hiyo itawanufaisha wanafunzi…

Read More

TMA FC yaanza na straika

KIKOSI cha TMA cha Arusha kipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa Bigman, Arafat Adam baada ya mkataba wake na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Champioship kufikia ukomo msimu uliopita.chukua nafasi ya aliyekuwa nyota wa timu hiyo, Ramadhan Kapera ambaye amekamilisha uhamisho wa kurejea Polisi Tanzania.

Read More

Kihogosi awajibu wanaoandamana CCM kupinga ‘kukatwa’ watiania

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amewasititizia WanaCCM kuheshimu uamuzi wa vikao kuhusu watiania walioteuliwa na chama hicho kuwania ubunge na udiwani. Amesema kila MwanaCCM anapaswa kutambua, kuheshimu chama hicho, badala ya watu ndani ya chama, akitumia msemo wa ‘chama kwanza, mtu baadaye.’ Kihongosi ameeleza…

Read More

WAZIRI MAKAMBA, WAWEKEZAJI WA IRELAND WAJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Mkamba amefanya mazungumzo na Wawekezaji kutoka nchini Ireland ambao wapo ziarani nchini kuangalia na kufanya tathimini ya fursa za uwekezaji zinazopatika katika sekta mbalimbali. Mazungumzo hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 8 Mei 2024 yalilenga kubalishana taarifa mbalimbali na uzoefu katika sekta…

Read More

Viongozi wa ACT jimbo zima watimkia Chadema

Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo jimbo la Kilindi mkoani Tanga jana tarehe 30 Juni 2024 wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema. Anaripoti Faki Ubwa … (endelea). Viongozi hao wamepokewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kilindi mkoani humo. Viongozi wa ACT waliohamia Chadema ni pamoja na:-Salum Omar –…

Read More