Wasomi: Kurejea kwa Dk Slaa ni turufu kwa Chadema

Dar/Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitangaza kurejea kwa kada wake wa zamani, Dk Willibrod Slaa, wachambuzi wa siasa wameeleza kwamba msimamo na harakati za Dk Slaa zinaendana na uongozi wa sasa, hivyo watashirikiana kwa karibu kusukuma ajenda ya chama. Dk Slaa ametangazwa kurejea Chadema leo Jumapili, Machi 23, 2025, wakati wa uzinduzi…

Read More

Chippo anukia Tabora United | Mwanaspoti

UONGOZI wa Tabora United uko katika mazungumzo ya kumuajiri aliyekuwa kocha wa Pamba na Coastal Union, Yusuf Chippo ili akawe msaidizi wa kocha mkuu Mkenya, Francis Kimanzi, ambaye muda wowote atatangazwa kuiongoza timu hiyo kwa msimu ujao. Makocha hao ambao wote ni raia wa Kenya, wako katika hatua za mwisho za kukabidhiwa kikosi hicho ikiwa…

Read More

MEYA ARUSHA ATOA TATHMINI YA ZIARA YA WAZIRI WA TAMISEMI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Na Pamela Mollel,Arusha  Meya wa Jiji la Arusha, Mheshimiwa Maximilian Matle Iranghe, ametoa tathmini ya ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mheshimiwa Riziki Shemdoe, iliyofanyika mkoani Arusha kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Jiji la Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 18,…

Read More

Imekuwa Jumapili ngumu kwa Simba 

LICHA ya wenyewe kujinasibu kwamba Jumapili huwa ni siku nzuri kwa klabu yao, lakini hali kwa Jumapili ya leo imekuwa kinyumw kwa Simba baada ya awali kuvurugana katika Mkutano Mkuu wa mwaka mapema asubuhi na usiku huu imekumbana na kipigo cha pili ikiwa ugenini huko Mali. Asubuhi Simba ilifanya mkutano ambao ulimalizika kitatanishi baada ya…

Read More

TMA yatoa tahadhari kuelekea mvua za vuli

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadharisha uwepo wa joto kali na uwezekano wa kuwapo mlipuko wa magonjwa katika kipindi cha mvua za vuli kitakachoanza Oktoba hadi Desemba, 2024. Mbali na athari hizo, sekta ya kilimo na usalama wa chakula, mifugo na uvuvi, maliasili, wanyamapori na utalii, nishati na maji, usafirishaji…

Read More