Watiania ubunge, uwakilishi Chaumma kujulikana kesho

Arusha. Zikiwa zimesalia siku nne kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa watiania wa nafasi za urais, ubunge na udiwani, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kinatarajia kupitisha majina ya wagombea wake kesho, Agosti 24, 2025, baada ya kikao chake kilichoanza leo. Vyama vya siasa nchini vinaendelea na mchakamchaka wa kuwateua…

Read More

DOWEICARE YACHANGIA UJENZI WA DARAJA LULANZI

Na Khadija Kalili, Michuzi TV KIWANDA Cha Doweicare kilichopo eneo la Lulanzi Picha yandege Wilayani Kibaha wametoa mchango wa fedha ikiwa katika kuchangia ujenzi wa kalavati. Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Bob Chaing amesema kuwa wamekabidhi kiasi cha Sh.500,000 kwa Uongozi wa Serikali ya Mtaa ya Lulanzi huku akisisitiza na kusema kuwa wamekuwa wakishiriki kwenye shughuli…

Read More

WANANCHI WAENDELEA KUPATA ELIMU KATIKA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU KUELEKEA KILELE CHA SIKU YA MAAFA DUNIANI OKTOBA 13

Wananchi mkoani Mwanza wameendelea kutembelea banda la Ofisi ya Sera, Bunge na Uratibu na kupewa elimu kuhusu masuala ya uratibu wa shughuli za Serikali ikiwemo ya menejimenti ya maafa, uwezeshaji wananchi kiuchumi katika maadhimisho ya Wiki ya Maafa ambapo Kitaifa yanafanyika Mkoani humo. Kaulimbiu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupunguza Maafa Duniani inasema;…

Read More

CHAN 2024: Sudan, Senegal ushindi lazima

WABABE wawili kutoka kundi moja D, Senegal na Sudan wanakutana tena leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Mandela, jijini Kampala, Uganda kutafuta mshindi wa tatu katika mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (CHAN) 2024. Timu hizi zilikutana Agosti 19 katika mechi ya mwisho ya makundi visiwani Zanzibar, ambapo hakupatikana mbabe, lakini leo ni lazima mshindi…

Read More

Mange Kimambi afunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

Dar es Salaam. Mwanaharakati maarufu kwenye mitandao ya kijamii ya X na Instagram anayeishi Marekani, Mange Kimambi, amefunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi nchini Tanzania. Katika kesi hiyo, anakabiliwa na shtaka moja la utakatishaji fedha haramu, kiasi cha Sh138.5 milioni. Kesi imepangwa kutajwa Desemba 4, 2025, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube wa Mahakama ya…

Read More

’Uchawa’ bomu linalosubiri kulipuka | Mwananchi

Dar es Salaam. Ingawa vijana wamegeukia ‘uchawa’ kama njia ya kipato, wadau wametahadharisha tabia hiyo wakisema ni hatari kwa ufanisi wa viongozi, thamani ya elimu na hata uchumi wa Taifa. Kwa mujibu wa wadau hao, kwa hali ilivyofikia jamii itaamini uchawa ndio njia ya kipato na hivyo watu wataacha kijibidiisha katika kazi, badala yake watawekeza…

Read More

Malone awagawa mabosi wa Simba

BEKI wa Simba, Che Malone Fondoh, amezua jambo klabuni Msimbazi ambako mabosi wa klabu hiyo wamegawanyika pande mbili kuhusu ishu yake. Staa huyo raia wa Cameroon alikuwa na msimu bora sana wa kwanza, lakini sasa msimu huu baada ya makosa ambayo ameyafanya katika baadhi ya mechi, mabosi wa klabu hiyo wamemkalia vikao. Mabosi wa Simba…

Read More

PINDA AMNUNULIA ANNA BAISKELI – Mzalendo

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amemkabidhi Anna Kitundu Mwandishi Mwendesha Ofisi ambaye ni mlemavu wa miguu pesa taslimu Shilingi Millioni moja kwa ajili ya kununua baiskeli na itakayomsaidia kuongeza ufanisi wake kazini ikiwemo kufika kituo cha kazi kwa wakati. Mhe. Pinda amekabidhi Pesa hizo muda…

Read More