Prisons yampigia hesabu Haule | Mwanaspoti

UONGOZI wa maafande wa Tanzania Prisons, unafikiria kumrejesha aliyekuwa kipa wa kikosi hicho, Benedict Haule, baada ya kutokuwa na nafasi ya kucheza mara kwa mara katika timu ya Singida Black Stars kutokana na ushindani mkubwa uliokuwapo. Haule aliyejiunga na Singida Black Stars Julai Mosi 2024, akitokea Tanzania Prisons aliyoichezea kwa mkopo kutokea Azam FC, anahitajika…

Read More