TANZANIA NA SOMALIA KUFANYA MAZUNGUMZO

Tanzania na Shirikisho la Jamhuri ya Somalia zinatarajia kufanya mazungumzo yanayolenga kuibua maeneo mapya ya ushirikiano na kuongeza uhusiano wa kidiplomasia na uchumi yatakayofanyika jijini Mogadishu kuanzia tarehe 17 -19 Disemba 2024. Ujumbe wa Tanzania tayari umeanza kuwasili nchini humo kushiriki katika vikao vya ngazi ya Wataalamu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano wa…

Read More

Ongezeko la matukio ya ubakaji nchini na athari zake

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka minne, Tanzania imeendelea kushuhudia mfululizo wa matukio ya ukatili wa kijinsia, huku ubakaji ukibaki kuwa moja ya uhalifu unaotikisa jamii za aina zote. Takwimu zinaonesha matukio ya ubakaji kwa mwaka 2021 yalikuwa 6,305 idadi iliyoongezeka hadi kufikia 8,541 mwaka 2024. Kwa mujibu wa wadau, ongezeko hilo halipaswi kutazamwa…

Read More

Antisemitism juu ya kuongezeka kati ya vizazi vichache – maswala ya ulimwengu

Melissa Fleming, Katibu Mkuu wa Mawasiliano ya Ulimwenguni, anashughulikia Sherehe ya Ukumbusho wa Umoja wa Mataifa ya Umoja wa Mataifa: Ukumbusho wa Holocaust kwa Heshima na Haki za Binadamu kwa kuzingatia Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho katika Kumbukumbu ya Wahasiriwa wa Holocaust. Mikopo: Picha ya UN/Manuel Elías na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Januari…

Read More

Urali wa biashara Tanzania, Misri kuimarika

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Misri kinatarajiwa kuongezeka kutokana na kuwapo kwa jitihada za za kuzalisha zaidi na kutumia fursa ya biashara kati ya nchi hizo. Akizungumza leo Julai 9,2024 wakati wa kongamano la biashara ikiwa ni siku maalumu ya Misri katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya…

Read More

NAIBU WAZIRI KIHENZILE AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 amefungua rasmi Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji unaofanyika katika Ukumbi wa AICC jijini Arusha. Akizungumza wakati wa ufunguzi, Mhe. Kihenzile alisema kaulimbiu ya mkutano huo isemayo “Integrated Transport System as a Foundation for Economic Transformation Toward Vision 2050” inaonesha…

Read More

Penzi la mitego linavyowaliza wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Hali ikiwa ya utulivu, kila mmoja akiendelea na lake ndani ya saluni ya kike iliyopo Mwenge, msichana mwenye umri wa miaka 26 anapaza sauti inayoashiria kukata tamaa. “Natafuta mganga mzuri ambaye anaweza kunisaidia… nina janga, sielewi nalitatua vipi.” Ni kauli iliyotoka kwa mtu aliyelemewa mzigo wa deni ndani ya kikundi cha kuweka…

Read More

Uvunjaji wa asasi za kiraia za Palestina unafikia viwango vya kutisha, unaonya Ofisi ya Haki za Binadamu – Maswala ya Ulimwenguni

Vikosi vya usalama vya Israeli vilivamia ofisi za shirika hilo huko Ramallah na Hebroni mnamo 1 Desemba, na kuharibu mali na kuwazuia wafanyikazi. Kulingana na Ohchrwatu waliokuwepo katika majengo walikuwa wamefungiwa macho, wamefungwa mikono na kufanywa kupiga magoti au kulala sakafuni kwa masaa kadhaa. Wanaume wanane walikamatwa. Umoja huo (UAWC) una leseni chini ya sheria…

Read More

Mbwembwe za Rais wa Bukina Faso kuwa kivutio Tanzania

Dar es Salaam. Rais wa mpito wa Bukina Faso, Kapteni Ibrahim Traore ambaye amekuwa kivutio kwa utaratibu wake wa kuvaa kombati za jeshi pamoja na kutembea na bastola kiunoni tofauti na marais wengine, ni miongoni mwa marais 25, watakaohudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu nishati Afrika. Kapteni Traore mwenye umri mdogo wa miaka 34 kuliko marais…

Read More