Malipo ya vyoo stendi kilio kila kona

Dar/Mikoani. Ni kilio kila kona, wananchi wakilalamikia tozo ya huduma ya choo inayokusanywa kwenye stendi kuu za mabasi za mikoa nchini. Ufuatiliaji uliofanywa na Mwananchi umebaini licha ya wananchi kuridhia malipo ya tozo ya kati ya Sh200 hadi Sh300 kwa huduma kwenye vyoo vya stendi, wanalalamikia tozo zingine wanazotozwa ili kuingia ndani ya maeneo hayo….

Read More

Rais samia amedhamiria kuifungua Kigoma – Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kasanda Wilaya ya Kakonko leo Septemba 18, 2024 Dkt. Biteko amesema kuwa Serikali…

Read More

Tanzania Retains WHO Maturity Level 3 Status in Major Public Health Milestone

By EMMANUEL MASSAKA  TANZANIA  has achieved another milestone in its ongoing commitment to protecting public health after the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA) successfully retained its World Health Organization (WHO) Maturity Level 3 (ML3) status, following a rigorous re-benchmarking assessment conducted in 2023. The development is being hailed as a major victory for…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATETA NA OTHMAN MASOUD OTHMAN

***** Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, walipokutana Viwanja vya Karimjee, jijini Dar Es Salaam, wakati wa utoaji heshima za mwisho, kumuaga Hayati Mzee Cleopa David…

Read More

Safari ya mwisho ya Jenerali Musuguri ilivyokuwa Butiama

Butiama. David Musuguri (104), aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi amehitimisha safari ya maisha yake hapa duniani kwa jeneza lenye mwili wake kuzikwa nyumbani kwake, Kijiji cha Butiama, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara. Safari hiyo ya mwisho ya Jenerali Musuguri aliyezaliwa Januari 4, 1920 ameihitimisha kwa mazishi ya kijeshi yaliyokwenda sambamba na mizinga 17 kupigwa….

Read More

Wafanyabiashara Kilombero mfano bora kulipa kodi kwa hiari

Kilombero. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro imesema kuwa hali ya ulipaji kodi katika wilaya hiyo ni mzuri,  kwani wafanyabiashara wanalipa kodi kwa hiari na kwa wakati shuruti. Hayo yamesemwa leo na Meneja wa TRA wilayani humo Wilfred Makamba wakati wa kikao kilichohusisha wafanyabiashara na watendaji wa mamlaka hiyo na kuongeza…

Read More

Jumuiya ya Kimataifa, Asasi za Kiraia zinahimiza haki za wachache na uwajibikaji huku kukiwa na vurugu zinazoendelea dhidi ya Rohingyas nchini Myanmar – maswala ya ulimwengu

Filippo Grandi, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, anahutubia Mkutano wa kiwango cha juu cha Mkutano Mkuu juu ya hali ya Waislamu wa Rohingya na watu wengine wachache nchini Myanmar. Mikopo: Picha ya UN/Manuel Elías na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Oktoba 01, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa,…

Read More

RAIS SAMIA AKISHIRIKI MISA YA KUMBUKUMBU YA HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU J. K. NYERERE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na waumini wa Kanisa Katoliki kwenye Ibada ya Misa Takatifu ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Fransisko Ksaveri- Nyakahoja Jijini Mwanza tarehe 14 Oktoba, 2024.            

Read More