Kutana na Wanawake Vijana Waliokamatwa kwa Kupambana na Ufisadi nchini Uganda – Masuala ya Ulimwenguni

Kemitoma Siperia Mollie, Praise Aloikin, na Kobusingye Norah walifikishwa mahakamani mapema mwezi wa Septemba. Walishtakiwa kwa kero ya kawaida. Credit: Wambi Michael/IPS by Wambi Michael (kampala) Alhamisi, Oktoba 24, 2024 Inter Press Service KAMPALA, Oktoba 24 (IPS) – Hadi hivi majuzi, Margaret Natabi hangeweza kamwe kuwa na ndoto ya kuchukua vita yake ya kupambana na…

Read More

LIVE: Fuatilia hatua kwa hatua upigaji kura Tanzania

Dar/mikoani. Shughuli ya upigaji kura katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kuwachagua madiwani, wabunge na Rais inaendelea huku hali ya utulivu ikitawala. Laurent Mgumba, mkazi wa Temeke, kata ya Nyambwera, jijini Dar es Salaam akionyesha alama ya wino aliyowekewa katika kidole chake baada ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani leo Jumatano,…

Read More

DC LINDI AWAPA MAUA YAO LINDI MWAMBAO

MKUU wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva amekimwagia sifa Chama Kikuu cha Ushirika cha Lindi Mwambao kwa kuguswa na mambo ya kijamii,huku akiwaomba kuzidi kuwa walezi wazuri kwa vyama vya msingi viweze kufikia malengo jadidi ya kuwahudumia wakulima. Katika kutekeleza msingi wa saba wa ushirika wa kuisaidia jamii, Lindi Mwambao kimemkabidhi Mkuu wa Wilaya hiyo,…

Read More