Latra, DCEA wawahimiza madereva, makondakta kutambua sheria ya dawa za kulevya
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA), imewataka wamiliki wa magari ya usafiri wa abiria na mizigo kuhakikisha wanawaajiri madereva na makondakta wenye uelewa kuhusu Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Wito huo umetolewa Julai 11,…