Morocco: Tupo tayari, tukutane Kwa Mkapa

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Jumamosi kitashuka uwanjani katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Fainali za Kombe la Ubingwa wa Nchi za Afrika (Chan) 2024 dhidi ya Burkina Faso, huku kocha wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ akitamba wapo tayari kwa vita. Tanzania ambao ni wenyeji wa fainali hizo…

Read More

Safari ya Nyamo-Hanga ilivyohitimishwa Bunda

Bunda. Majonzi yametawala miongoni mwa viongozi wa umma, binafsi, wafanyakazi, familia, ndugu jamaa na marafiki waliokusanyika mjini Bunda, mkoani Mara katika maziko ya Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga. Maziko yamefanyika leo Jumatano, Aprili 16, 2025, eneo la Migungani mjini Bunda, waombolezaji wakiongozwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,…

Read More

KESI YA LISSU: Hakimu atoa onyo, Lissu agomea tena mtandao

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelekeza upande wa mashitaka kukamilisha haraka upelelezi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Pia imeelekeza tarehe ijayo, upande wa mashitaka uje uieleze Mahakama hiyo upelelezi wa kesi hiyo umefikia hatua gani. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini,…

Read More

Serikali yaonya uchangishaji holela michango waathirika Kariakoo

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeonya watu kuchangisha michango nje ya utaratibu ikisema michango yote ya waathirika wa ajali ya ghorofa lililoporomoka Kariakoo itakusanywa kupitia akaunti maalumu ya maafa. Ghorofa hilo liliporomoka juzi Jumamosi ya Novemba 16, 2024 hadi kufikia jana saa 4:00 asubuhi, vifo vilikuwa vimefikia 13 na majeruhi 84. Shughuli ya uokoaji…

Read More

Baresi, Pweka waungana KMC | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya kufahamika kuwa mabosi wa KMC wameafiki kuamuajiri aliyekuwa kocha wa Zimamoto ya Zanzibar, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ ili kwenda kuchukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo inadaiwa ametua na msaidizi kutoka visiwani humo. Maximo aliachana na kikosi hicho Desemba 6, 2025, baada ya kudumu kwa siku 131, tangu alipotambulishwa, Julai 28,…

Read More

Jishindie Pesa Nyingi Unapocheza Pirates Power

Michezo ya kubeti siku za hivi karibun umekuwa ni kitega uchumi, kwakuwa watu wengi wanatumia njia zote za halali kusaka mtonyo bila kuvunja sharia. Kuna kasino ya mtandaoni yenye michezo mingi na sloti kibao ikiwemo Pirates Power ushindi wake ni rahisi kinouma. Watengenezaji wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio ndio wamehusika kuuleta mchezo…

Read More

Jaji Mwanga agoma kujitoa kesi ya Chadema

Dar es Salaam. Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, amegoma kujitoa kusikiliza kesi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali, baada ya kuzikataa hoja zote akisema si za msingi. Kabla ya kufikia hitimisho hilo, Jaji Mwanga amepangua sababu za walalamikiwa kumkataa akisema hazikidhi vigezo…

Read More