KMC yatangaza kumrejesha Awesu akitokea Simba

Klabu ya KMC imetangaza kumrejesha kikosini kiungo Awesu Awesu aliyekuwa akiichezea timu hiyo msimu uliopita kabla ya kuelezwa amesajiliwa na Simba na kutangazwa Julai 17, 2024. Licha ya kutangazwa Simba kama mchezaji mpya atakayekitumikia kikosi hicho cha wekundu kwa msimu wa 2024\25, usajili huo ulikuwa na dosari, kwani KMC ilidai bado ana mkataba na wanakino…

Read More

Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5 kila upande,  iko katika majiji na miji. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Aprili 19, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipokuwa akijibu swali la msingi la mbunge wa Kibaha…

Read More

Kocha Senegal ajishtukia CHAN 2024

KOCHA Mkuu wa Senegal, Souleymane Diallo amelia na kikosi chake kushindwana kutegua mtego dhidi ya Sudan akisisitiza kuwa ana kazi kubwa ya kufanya katika hatua ya robo fainali akihofia kukamiwa zaidi. Souleymane alisema hayo baada ya timu yake kuambulia suluhu dhidi ya Sudan akikiri kupata mchezo mgumu ambao uliifanya timu yake ishindwe kupata matokeo kucha…

Read More

Andabwile sasa mambo freshi Yanga

KESI iliyokuwa ikiendelea kati ya Yanga na kiungo wa klabu hiyo, Aziz Andabwile imemalizika baada ya pande zote kufikia makubaliano na sasa kila kitu kipo freshi. Andabwile aliyewahi kuichezea Mbeya City na Fountain Gate kabla ya kutua Yanga, huu ni msimu wake wa pili ndani ya klabu hiyo. Mwanaspoti inafahamu kwamba Andabwile alisaini mkataba wa…

Read More

Mara yajitosa kampeni ya nishati safi

Musoma. Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530 yenye thamani ya zaidi ya Sh390 milioni mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini, huku wananchi mkoani humo wakiiomba Serikali kusogeza vituo vya kujaza gesi karibu na makazi yao. Mitungi hiyo yenye…

Read More