Mukwala, Aucho watemwa The Cranes

WACHEZAJI Steven Mukwala na Khalid Aucho wameachwa katika kikosi cha nyota 28 wa timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’, kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Msumbiji Septemba 5 na Somalia Septemba 8, 2025. Mukwala anayeichezea Simba ametemwa sambamba na Aucho aliyemaliza mkataba wake na Yanga kisha…

Read More

Walinda amani hupata silaha za jiko kusini mwa Lebanon, kwani ukame unatishia mamilioni – maswala ya ulimwengu

Jumanne na Jumatano wiki hii, walinda amani na Kikosi cha mpito cha UN huko Lebanon (UNIFIL) waligundua vizindua vya roketi, ganda la roketi, raundi za chokaa, fusi za bomu na handaki iliyo na vifaa katika matukio tofauti katika sekta Mashariki na Magharibi, msemaji wa UN Stéphane Dujarric aliwaambia waandishi wa habari huko New York. Matokeo…

Read More

Maeneo 9 ya udhamini mpya Simba

MKATABA wa miaka mitano wenye thamani ya Sh38.1 bilioni ilioingia Simba na mzabuni mpya, Kampuni ya Jayrutty Investment atakayehusika na zoezi la kubuni, kuzalisha na kusambaza jezi na bidhaa nyingine zenye nembo ya klabu hiyo, umegusa maeneo tisa tofauti ambayo yatanufaika moja kwa moja. Mwenyekiti wa Kamati ya Tenda ya Simba, Dk Seif Muba, alisema…

Read More