Miili miwili ya watu waliozama Ziwa Victoria yaopolewa

Mwanza. Miili ya watu wawili waliozama maji ndani ya Ziwa Victoria wakati wakitoka Kisiwa cha Yozu kusheherekea ‘Yanga Day’ kuelekea Kitongoji cha Itabagumba, Kata ya Burihaeke wilayani Sengerema imeopolewa. Miili hiyo ni miongoni mwa watu watano waliokuwa wakitafutwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria uliokuwa na watu 23 kuzama maji. Hata hivyo, watu 17 waliokolewa wakiwa…

Read More

Taoussi: Yanga ilituzidi ubora | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema kuandaa kikosi ili kuikabili Yanga sio kazi rahisi, huku akidai kuwa wapinzani wao walikuwa bora zaidi juzi ndio maana walishinda mabao 2-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar. Taoussi alisema hayo muda mfupi baada ya kupokea kichapo hicho kilichozidi kuiweka…

Read More

Chama la Watanzania bado moja tu CAF

CHAMA la nyota wawili wa Tanzania, FC Masar ya Misri, limefufua matumaini ya kuisaka nafasi ya nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake baada ya juzi Jumanne kuitandika 15 De Agosto mabao 5-0 kwenye Uwanja wa Suez Canal nchini Misri. Nyota hao ni Hasnath Ubamba ambaye amekuwa kikosini hapo kwa takribani…

Read More

JICHO LA MWEWE: Kibu mkandaji ametukumbusha zama za kina RamaDHAN Lenny

ZAMANI tuliwahi kuishi maisha ya kushangaza sana katika soka. Mfano ni pale mchezaji anapoendelea kuwa mali ya klabu hata msimu unapoishi licha ya kutokuwa na mkataba. Zamani klabu zilikuwa hazina mikataba. Wachezaji walikuwa wanasaini katika fomu moja. Bado wachezaji walilazimika kutoroka hata msimu ulipoisha na kwenda nje kusaka malisho. Wachezaji wengi walikuwa wanatorokea Uarabuni. Ilikuwa…

Read More

Ada Tadea kuufanya Wete mji wa biashara

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha Ada Tadea, Juma Ali Khatib amesema akichaguliwa kuwa Rais ataimarisha Mji wa Wete kuwa kituo cha biashara kwa kujenga bandari itakayowezesha meli kubwa za mizigo kufunga gati moja kwa moja katika bandari hiyo. Mgombea huyo ametoa kauli hiyo leo, Oktoba 23, 2025, alipozungumza na wananchi katika mkutano…

Read More

Msingi Umewekwa kwa Uamsho wa Kikristo Barani Ulaya.

HITIMISHO lililofanikiwa la Semina ya Ulimwengu nchini Ufaransa.Unabii wa Ufunuo na Utimizo Wake Wafichuliwa… Zaidi ya Washiriki 7,000 Wakiwemo Wachungaji 1,000.Mwenyekiti Lee Man-hee. “Tambua Ufunuo na Uufundishe kwa Wumini wa Kanisa Lako”Wachungaji wa Ulaya Waliohudhuria: “Tunataka Kujifunza Ufunuo”… Matarajio ya Uamsho wa Kanisa Kupitia Mabadilishano ya Kuendelea “Mafundisho yanayofafanua Kitabu cha Ufunuo yalikuwa ya kina…

Read More