WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAONESHO YA WORLD EXPO 2025 OSAKA, JAPAN*

………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 23, 2025 amewasili Osaka nchini Japan kumwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya kimataifa ya Osaka (World Expo 2025 Osaka). Akiwa nchini Japan, Mheshimiwa Majaliwa atashiriki katika kongamano la biashara, uwekezaji na utalii ambalo litahusisha wafanyabiashara kutoka Tanzania na Japan. Pia, Waziri Mkuu atashiriki katika…

Read More

Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu kutolewa leo

Mwanza. Hukumu ya kesi ya kulawiti inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu (RC), Dk Yahya Nawanda inatarajiwa kusomwa leo Ijumaa Novemba 29, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza. Kesi hiyo ya kulawiti namba 1883/2024, inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Erick Marley. Mara ya mwisho kuripoti mwenendo wa kesi hiyo…

Read More

JIWE LA SIKU: VAR sawa ije lakini kwenye viwanja vipi?

KWA mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS), Ligi Kuu Tanzania Bara inashika namba sita kwa ubora barani Afrika nyuma ya vinara Misri, Morocco, Algeria, Tunisia na Afrika Kusini. Takwimu hizo zilitolewa Januari 2024. Ukiangalia orodha hiyo katika nne bora unazikuta nchi za Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika…

Read More