Kamal Foundation Yaongeza Nguvu ya Ujumuishwaji kwa Kugawa Miguu Bandia kwa Walengwa 28

KAMPUNI ya Kamal kupitia Kamal Foundation imeonesha mfano wa namna ushirikiano kati ya sekta binafsi, Serikali na jumuiya za kimataifa unavyoweza kuleta matokeo chanya kwa watu wenye ulemavu, baada ya kugawa miguu bandia kwa walengwa 28 jijini Dar es Salaam—hatua inayotajwa kuunga mkono ajenda ya kitaifa ya kuongeza ujumuishwaji katika maendeleo. Akizungumza katika tukio hilo…

Read More

Watoto wanavyouziwa, kula vyakula duni shuleni

Dar es Salaam. Mzazi unafahamu mtoto wako ananunua nini katika ile fedha unayompatia kila siku anapokwenda shule? Kwa kawaida watoto hupendelea kununua vitafunwa vyenye sukari nyingi, vinywaji kama juisi, soda, biskuti na vinginevyo, huku kinywaji cha kuongeza nguvu maarufu ‘energy drink’ kikiwa nacho kinapendelewa zaidi. Kwa mujibu wa  Ripoti ya ‘Utafiti wa Afya, Viashiria na…

Read More

Serikali: Pandeni mazao yasiyowavutia tembo

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana ametoa wito kwa wananchi kupanda mazao yasiyowavutia tembo, kama ufuta, ili kupunguza uharibifu unaosababishwa na wanyamapori hao.  Wito huo umetolewa leo, Septemba 6, 2024, wakati wa kikao na baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, kilichofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni jijini…

Read More

Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani

Na Mwandishi Wetu, Mwanza VIONGOZI wa dini mbalimbali mkoani Mwanza, wametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uliopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Kadhalika katika kongamano la Amani la Viongozi wa Dini lililofanyika jijini Mwanza, viongozi hao wametoa wito kwa wananchi kudumisha amani hasa katika…

Read More

Vita ulaji vyakula vya asili na vya kisasa

Dar es Salaam. Katika miji yenye shughuli nyingi kama Dar es Salaam, Lagos  Nairobi na mingineyo barani Afrika, harufu ya vyakula vya haraka na vilivyosindikwa ( junk foods) inashindana na pengine hata kuzidi   harufu ya vyakula vya jadi vinavyopikwa na wauzaji wa mitaani. Afrika, bara lenye urithi tajiri wa upishi, linashuhudia mabadiliko makubwa ya lishe,  ambayo…

Read More

Sh800 milioni kujenga kiwanda cha cocoa Kyela

Mbeya. Wakati Chama Kikuu cha Ushirika (Kyela) kikitarajia kutumia zaidi ya Sh800 milioni kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata cocoa, wakulima wilayani humo wamesema hatua hiyo itafungua fursa za kiuchumi na uhakika wa bei. Pia, wamepongeza sera ya mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan aliyeahidi Serikali kuongeza nguvu katika ujenzi wa…

Read More