TCB na Tiseza kuwezesha wawekezaji huduma za kifedha

Dar es Salaam. Wakati idadi ya mitaji na miradi inayosajiliwa nchini ikiongezeka kila siku, wawekezaji wametafutiwa namna ya kupata huduma za kifedha ili kurahisisha utekelezaji wa miradi hiyo. Hiyo ni baada ya Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza)  kuweka saini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Benki ya Biashara Tanzania (TCB), yanayolenga…

Read More

Othman aahidi kurejesha ardhi Iliyopokwa wananchi

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT – Wazalendo, Othman Masoud Othman ameahidi kuirejesha ardhi yote iliyokwapuliwa kwa wananchi wa Wazanziba kinyume cha utaratibu. Amesisitiza kuirejesha ardhi hiyo akilenga itumike katika masuala mbalimbali yakiwemo ya maendeleo, akisema tangu ashike wadhifa wa Umakamu wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, amekuwa akipokea malalamiko…

Read More

Samia atajwa mwelekeo Dira 2050 na ubia sekta binafsi

Dar es Salaam. Rais, Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa Dira ya 2050, ikielezwa kuwa ni ya kitaifa huku wito ukitolewa wa kuhakikisha uhusiano baina ya serikali na sekta binafsi unaimarishwa zaidi ili kujenga uchumi jumuishi. Pongezi na wito huo umetolewa kama sehemu ya maazimio ya Kongamano la Uchumi Jumuishi lililoandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere…

Read More

Majaliwa kufungua maonyesho ya madini Geita

Geita. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kesho Septemba 22, 2025 anatarajiwa kufungua maonyesho ya nane ya teknolojia ya madini mkoani Geita, yanayokutanisha washiriki zaidi ya 1,300 kutoka ndani na nje ya nchi zikiwamo China, Korea, Namibia, Kenya na Uganda. Maonyesho hayo yalianza Septemba 18, 2025 yanatarajiwa kufungwa Septemba 28, huku idadi ya washiriki ikiwa zaidi ya…

Read More

Serikali itaendelea kuboresha mitalaa sekta ya elimu- Mahundi

Rungwe.  Naibu Waziri wa Habari, Teknolojia na Mawasiliano, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali itaendelea kuboresha mitalaa ya elimu nchini ili kuwezesha vijana kujiajiri, hasa watoto wa kike. Kauli hiyo ameitoa leo Jumapili Septemba 21, 2025, alipokuwa akizungumza katika mahafali ya kidato cha nne ya Shule ya Wasichana ya Joy, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe,…

Read More

DK SAMIA AACHA TABASAMU KWA WANANCHI NYASA … AHIDI MTAMBO KUKAUSHA SAMAKI MBAMBABAY

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Ruvuma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewapongeza  wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kwa uzalishaji mzuri wa mazao ya biashara na chakula  Ametoa pongezi hizo leo Septemba 21,2025 alipokuwa katika mkutano wa kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu akiwa Uwanja wa Mbambabay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma ambapo ameeleza hatua…

Read More

Mgombea ubunge Moshi ataja vipaumbele vyake

Moshi. Mgombea ubunge wa Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Shayo maarufu Ibraline, amewaomba wananchi kumpa ridhaa ya kuwatumikia bungeni ili kuhakikisha hoja za maendeleo ya jimbo hilo zinapewa kipaumbele na si masilahi yake binafsi. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo Jumapili Septemba 21, 2025 katika Viwanja vya Netball Reli, Kata ya Njoro,…

Read More