WAZIRI SANGU AKUTANA NA WAZIRI WA KAZI QATAR

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar, Mhe. Dkt. Ali bin Saeed bin Samikh Al Marri, Jijini Riyadh, Saudi Arabia. Katika mazungumzo ya viongozi hao, pande zote zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kazi na ajira,…

Read More

BoT: HATUUZI DHAHABU KUFADHILI MIRADI YA SERIKALI

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo tarehe 30 Januari 2026, imesema ina mpango wa kuuza sehemu ya hifadhi yake ya dhahabu kwa ajili ya kusawazisha mizania ya akiba ya fedha za kigeni na siyo kufadhili miradi ya kimkakati ya serikali. Akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari katika ofisi za BoT jijini Dar es Salaam,…

Read More

SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA GEF KATIKA KULINDA MAZINGIRA

………………… Dodoma Serikali ya Tanzania inatambua mchango mkubwa wa Mfuko wa Mazingira Duniani (Global Environment Facility, GEF) katika ajenda ya maendeleo ya taifa, hususan katika kuunga mkono juhudi za Serikali za uhifadhi wa mazingira na ustahimilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamesemwa Dodoma Januari 30,2026 na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt….

Read More

HATUUZI DHAHABU KUFADHILI MIRADI YA SERIKALI : BOT

:::::::::: Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo tarehe 30 Januari 2026, imesema ina mpango wa kuuza sehemu ya hifadhi yake ya dhahabu kwa ajili ya kusawazisha mizania ya akiba ya fedha za kigeni na siyo kufadhili miradi ya kimkakati ya serikali. Akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari uliofanyika katika ofisi za BoT jijini Dar…

Read More

DKT. KIJAJI AKUTANA NA SEKRETARIETI YA LATF

……….. Na Sixmund Begashe, Arusha Raisi wa Baraza la Usimamizi wa Mkataba wa Lusala, ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amewaagiza watendaji wa Mkataba wa Lusaka (LATF) kuhakikisha idadi ya wanachama inaongezeka wakati wa kipindi cha uongozi wake ili kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya ujangili na biashara haramu…

Read More

Mkakati wa kuboresha miundombinu ya Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara utakaorahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza pato la Taifa. Mpango huo unaoitwa ‘Expressways Master Plan’ umeanza kutekelezwa na wataalamu wazalendo wa Tanzania kwa ushirikiano na wenzao kutoka Korea Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Read More