Kocha BK Hacken amsifU Sabri

KWENYE moja ya mahojiano, kocha wa BK Hacken, Sven-Agne Larsson, amemtaja kiungo mshambuliaji wa Kitanzania, Sabri Kondo, kuwa mmoja wa wachezaji wenye njaa ya mafanikio. Sabri, ambaye msimu uliopita alicheza Coastal Union kwa mkopo, awali alienda katika timu hiyo inayokamata nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ya Sweden, ikicheza mechi 17 na kukusanya pointi…

Read More

Kwa nini watoi wanaonewa bure?

Japo sijui umri wala sura zenu, kwa walengwao mjijuao, nitakuiteni waheshimiwa msiojulikana mnaofanya mambo yanayojulikana tena ya kuudhi. Nawapa shikamoo kama ishara ya heshima ila siyo kuwazeesha bali kuwasifia na kuwafurahisheni msiniteke, kunipoteza, hata kunidedisha kama wale wenzangu. Juzi, nilisikitika sana na kushangaa. Nilihuzunika na kuchukia namna wengine wanavyokasirika na kufyatuka kiasi cha kupayuka na…

Read More

Taifa Stars Stars v Niger Mechi ya hesabu

KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars jioni ya leo kinatarajia kushuka kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikabili Niger ikiwa ni mechi ya hesabu za kuisaka tiketi ya kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia 2026. Baada ya kukosa tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki fainali hizo za mwakani kutokana na Morocco kuinasa…

Read More

Jua tofauti za mitazamo kati ya wanawake na wanaume

Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, wanaume na wanawake wamekuwa na mitazamo tofauti kuhusu namna wenzao wanavyofikiri, kuhisi na kutenda. Mitazamo hii mara nyingi imejenga vichekesho, mshangao, migogoro na wakati mwingine kutoelewana katika uhusiano. Wanawake, kwa upande wao, wamekuwa wakieleza kuwa wanaume hawawezi kuzieleza hisia zao vya kutosha. Kwao, mwanaume huonekana kufunga milango ya moyo…

Read More

Arusha kutumia Sh503 bilioni kutekeleza miradi ya maendeleo mwaka 2026/27

Arusha. Mkoa wa Arusha umepitisha rasimu ya mapendekezo ya mpango wa bajeti ya Sh503.595 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwa ni ongezeko Sh9.88 bilioni kutoka bajeti ya mwaka uliopita 2025/2026 iliyokuwa Sh493.71 bilioni. Aidha, katika bajeti hiyo, Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imepangiwa Sh14.72 bilioni  huku Sh488. 867 bilioni zikielekezwa…

Read More