FUNGUO na IMBEJU: Ushirikiano wa Kipekee Kukuza Ufadhili kwa Wajasiriamali Wabunifu wa Tanzania

Tanzania, 10 Septemba 2024. Mradi wa Ubunifu wa FUNGUO unaotekelezwa na UNDP hapa Tanzania kwa ufadhili wa na Umoja wa Ulaya na mfuko waIMBEJU wa CRDB Bank Foundation, imeamua kushirikiana ili kubadilisha mwenendo wa ufadhili wa wajasiriamali wabunifuhapa nchini.  Ushirikiano huu wa kimkakati unalenga kutumiaruzuku inayotolewa na Umoja wa Ulaya kwa kampuni changa nakufungua fursa…

Read More

VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA MSIINGILIE MCHAKATO WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA – JAJI MSTAAFU MBAROUK

Na Gideon Gregory, Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Tume huru ya taifa ya uchaguzi Jaji Mstaafu Mahakama ya Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk amewasisitiza mawakala na viongozi wa vyana vya siasa kutokuingilia mchakato wa uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kituoni. Jaji Mstaafu Mbarouk ameyasema hayo leo Septemba 13,2024 Jijini Dodoma wakati akifungua Mkutano wa…

Read More

Serikali yawataka walimu kuepuka mikopo inayodidimiza uchumi wao.

Na Pamela Mollel, Arusha. Serikali imewataka walimu kuepuka kuchukua mikopo kwenye taasisi zisizo rasmi ambazo zimekuwa zikididimiza uchumi wao badala ya kuwasaidia. Pia imewataka kuepuka kuchukua kiwango cha mikopo yenye kushusha hadhi za taaluma yao na kutweza utu wao. Hayo yamesemwa julai 14,2025 na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Karatu, Juma Hokororo wakati akifungua kongamano…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Andabwile, Kagoma nisikilizeni kwa umakini

DIRISHA la usajili lilichangamka sana wiki hii hasa kwa timu mbili vigogo nchini Simba na Yanga ambazo zilitambulisha baadhi ya wachezaji wao na wengine zikawapa ‘Thank You’. Miongoni mwa wachezaji waliotambulishwa ni viungo wawili wakabaji, Yusuf Kagoma na Aziz Andabwile ambao msimu uliopita walikuwa wakiitumikia Singida Fountain Gate. Aziz Andabwile alitambulishwa na Yanga ikionekana ni…

Read More

ACB yawafunda watumishi wa umma elimu ya fedha

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba (ACB), Silvest Arumasi amesema wataendelea kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili waweze kufanya maamuzi sahihi kuhusu mahitaji ya huduma za kibenki. Akizungumza wakati wa hafla iliyohusisha viongozi na watumishi kutoka wizara, taasisi na ofisi mbalimbali za Serikali jijini Dodoma amesema Akiba Commercial Bank Plc…

Read More