Kifahamu kidonge cha aspirin ndogo na matumizi yake

Tangu uhuru mpaka mwishoni miaka ya 1990, dawa iliyokuwa ikijulikana sana katika huduma za afya kutumika kukabiliana na maumivu na homa ilikuwa ni aspirin. Kwa hivi sasa wagonjwa wenye umri kati ya miaka 40-70 ambao wanahudhuria kliniki za moyo ni kawaida kujiuliza ni kwa nini wanapewa aspirini hiyo, lakini yenye jina la junior aspirin. Ukweli…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE KUBADILISHA MAISHA YA WANANCHI WA KIBAKWE KWA KUJA NA MKAKATI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Kibakwe, Mhe. George Simbachawene amewataka wananchi wa Kibakwe kuendesha kilimo cha biashara kwa kutumia miundombinu ya umeme iliyopo huku akiwaahidi kuwaletea mradi mkubwa wa kimkakati wa umwagiliaji. Mhe. Simbachawene ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wananchi kwa…

Read More

Zelensky amwandikia barua Trump, akubali kukutana na Putin

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump amefichua kuwa ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia na kusaini makubaliano ya madini adimu. “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema…

Read More

Kocha Mlandege afichua dili ya usajili wa Yakoub Msimbazi

WAKATI ikitajwa kuwa kipa namba moja wa JKT Tanzania na timu ya taifa,  Taifa Stars,  Yacoub Suleiman kuwa kamalizana na Simba kocha aliyemuibua nyota huyo, Hassan Ramadhan Hamis amekiri kuwepo kwa mazungumzo ya dili hilo. Hata hivyo, amesema kuwepo bado hajui kinachoendelea, ila kipa huyo amehakikishiwa nafasi na Fadlu Davids endapo mambo yataenda vizuri. Akizungumza…

Read More