Kocha BK Hacken amsifU Sabri
KWENYE moja ya mahojiano, kocha wa BK Hacken, Sven-Agne Larsson, amemtaja kiungo mshambuliaji wa Kitanzania, Sabri Kondo, kuwa mmoja wa wachezaji wenye njaa ya mafanikio. Sabri, ambaye msimu uliopita alicheza Coastal Union kwa mkopo, awali alienda katika timu hiyo inayokamata nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ya Sweden, ikicheza mechi 17 na kukusanya pointi…