Kaka, dada jela miaka 30 kwa kosa la kuoana

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemuhukumu Mussa Shija (32) kifungo cha miaka 20 jela na dada yake Hollo Shija (35) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya kosa la kujamiiana na maharimu (ndugu wa damu). Hukumu hiyo ilitolewa Agosti 14, 2024 na Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo,…

Read More

Kamati ya maadili ya uchaguzi yazinduliwa

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi, amezindua rasmi kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa ikiwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uchaguzi wa baadaye mwaka huu unakuwa huru, haki na wa amani. Uzinduzi wa kamati hiyo ni sehemu ya mchakato wa kushirikisha wadau wa uchaguzi hususan vyama vya…

Read More

Dk Mwinyi awataka wawekezaji wa ndani wasiwe watazamaji, aahidi mazingira bora

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji akiwataka wawekezaji wa ndani kujitokeza kujenga miradi mikubwa, inayoacha alama badala ya kuwa watazamaji. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Novemba 19, 2025 wakati akizindua mradi wa Hoteli ya Tembo Kiwengwa Beach Resort Zanzibar, amesema atapenda kuona miradi mikubwa ya…

Read More

Mchuano uchaguzi Chadema Kanda ya Pwani, Boni Yai arejesha fomu

Dar es Salaam. Dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania uongozi wa Kanda ya Pwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limefungwa, huku wagombea wawili wa uenyekiti wakioneshana umwamba dhidi ya mwenzake. Leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 saa 10:00 jioni, ndio dirisha limefungwa baada ya kufunguliwa kuanzia Agosti 23, 2024. Waliochukua na kurejesha ni…

Read More

WANAHARAKATI WAHIMIZA ELIMU KUTOLEWA KUKOMESHA MILA KANDAMIZI

WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo wameiomba Serikali pamoja na taasisi mbalimbali kutoa elimu kwa jamii ili kufanya mageuzi na kuachana na mila kandamizi ambazo zimekuwa zikimnyanyasa mwanamke. Ombi hilo wamelitoa leo Septemba 25,2024, katika viunga vya mtandao wa Jinsia Tanzania Mabibo-Jijini Dar es Salaam,wakati wakijadili mada isemayo “Je!Ni kwa namna gani Mila na Tamaduni zinawakandamiza…

Read More

Wanawake UWT Mara waahidi kuchagua wabunge ‘majembe’

Musoma. Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Mara, wameahidi kuchagua wawakilishi wenye uwezo wa kuwawakilisha vema sambamba na kuwaunganisha. Jumla ya wajumbe 1,435 wanashiriki mkutano huo leo Jumatano Julai 30, 2025 kwa lengo la kuchagua majina ya wabunge wawili kati ya wagombea wanane ambao majina yao yamerudishwa…

Read More