
SERIKALI YAENDELEA NA JITIHADA ZA UOKOAJI MGODI WA NYANDOLWA
:::::: Dkt. Kilabuko atoa wito kwa timu ya uokoaji kuongeza kasi na juhudi za uokoaji Mwenyekiti Tume ya Madini atoa Salamu za pole kwa wahanga na waathirika wa ajali Nyandolwa Imeelezwa kuwa, jitihada za kuendelea kuokoa maisha baada ya ajali ya mgodi kutokea eneo la Nyandolwa mkoani Shinyanga zinaendelea usiku na mchana ambapo hadi kufikia…