SHINDANO LA GOFU KCB EAST AFRIKA LAANZA KWA KISHINDO DAR

WACHEZAJI 100 wameshiriki mashindano ya siku moja ya ‘KCB East Afrika Golf Tour’ ambayo yamefanyika katika viwanja vya Lugalo gofu Kawe jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yameshirikisha klabu zote nchini wakiwemo watoto (juniors) nchini na wachezaji kutoka nchi za Uganda, Rwanda, Kenya na Burundi. Akizungumza na Wanahabari Leo Agosti 03,2024 Jijini Dar es Salaam…

Read More

Walioteuliwa majimbo ya Geita hawa hapa

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko ameteuliwa kuwa mtiania pekee katika Jimbo la Bukombe baada ya makada wengine kutojitokeza kutia nia. Hayo yamesemwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla leo Jumanne Julai 29, 2025 wakati akitangaza majina ya walioteuliwa na CCM kwenda hatua inayofuata…

Read More

Makamba ataja mambo manne kuamua uchaguzi serikali za mitaa

Bumbuli. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC), January Makamba ameyataja mambo yatakayokibeba Chama Cha Mapinduzi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Makamba amesema namna chama hicho kinavyoshughulikia na kuzipatia ufumbuzi kero zinazowakabili wananchi katika maeneo mengi nchini yanaipa CCM nafasi ya kufanya vizuri katika uchaguzi wa serikali za mitaa….

Read More

Mwanengo mali ya Yanga, aanza tizi la Mapinduzi

ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa TRA United (zamani Tabora United), Emmanuel Mwanengo ameanza mazoezi na Yanga tayari kwa kushiriki michuano ya Mapinduzi Cup inayoendelea Zanzibar. Mwanengo tayari ameaga TRA na kuishukuru kwa kipindi ambacho ameitumikia akiwashukuru viongozi, wachezaji na makocha aliofanyanao kazi kipindi chote akiwa na timu hiyo. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Yanga kimeliambia…

Read More

Inter Zanzibar, Tekeleza zashuka rasmi ZPL

SAFARI ya Inter Zanzibar na Tekeleza katika Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), imefikia tamati jioni leo baada kufungwa mabao 4-0 na KVZ, huku Tekeleza nayo ikishuka daraja kwa kufungwa huko Pemba. Timu hizo ni miiongoni mwa nne zilizopanda Ligi Kuu msimu huu, sambamba na vinara wa ligi hiyo kwa sasa, Mwembe Makumbi na Junguni United. Inter…

Read More

Simba, Yanga zarudi mzigoni kukipiga leo

LIGI Kuu Bara inaendelea leo Alhamisi kwa mechi mbili vinazohusisha vigogo Simba na Yanga zinazokabiliana na Fountain Gate na Mbeya City zikitoka katika majukumu ya mechi za kimataifa za Ligi ya Mabingwa Afrika ugenini. Yanga yenyewe itaanza kazi saa 10 jioni kuikaribisha Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam kabla…

Read More