AKILI ZA KIJIWENI: Dube ametuunganisha tuliobishana

SIKU za mwanzoni za Prince Dube ndani ya Yanga, kijiweni hapa na katika mitaa mingi tuligawanyika sana kuhusu mshambuliaji huyo kutoka Zimbabwe. Mambo yalikuwa hayamuendei vizuri wakati hivyo kukawepo makundi mawili ambayo ni moja lililo nyuma ya mshambuliaji huyo na jingine likiwa na hisia tofauti juu yake. Ambao walikuwa wamegoma kushuka kwenye basi la Dube…

Read More

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU BIMA YAKO YA AFYA

  Na Mwandishi Wetu OFISA Mkuu wa Usambazaji kutoka Kampuni ya Jubilee Insurance Rogation Selengia anaeleza kuwa Bima ya afya sio tena anasa bali ni lazima. Akizungumza kuhusu umuhimu wa Bima Selengia anasema pamoja na gharama za matibabu zinazoongezeka, mpango bima sahihi na unaofaa unatoa ufikiaji wa huduma muhimu bila mzigo wa msongo wa kifedha….

Read More

Utouh: Fedha za umma hazina itikadi za kisiasa

Dodoma. Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema fedha za umma hazina itikadi za kisiasa na badala yake zinapaswa kuleta maendeleo kwa wananchi ambao ndiyo wamiliki wa rasilimali. Ametoa kauli hiyo leo Mei 28, 2025 jijini Dodoma katika ufunguzi wa mafunzo kuelekea utekelezaji mradi wa ‘Raia Makini’. Mradi huo…

Read More

Folz afanya maamuzi mazito Dar

KAMA ulikuwa hufahamu kuna miezi kadhaa Yanga ilikuwa inajifua ikitumia viwanja vya kukodi, lakini juzi kikosi hicho kilirudi rasmi kambi yao iliyozoelekea lakini iliyokarabatiwa upya pale Avic Town, Kigamboni, jijini Dar es Salaam baada ya kocha wa timu hiyo, Romain Folz kufanya maamuzi. …

Read More