KAFULILA ASHUSHA NONDO NZITO KUHUSU DENI LA TAIFA

  Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC, David Kafulila Na Mwandishi Wetu –  Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, leo Mei 27, 2025 ametoa somo zito kwa wanazuoni na wadau wa sekta binafsi kuhusu mwenendo wa deni la taifa la Tanzania na dunia kwa ujumla….

Read More

Nchini Zimbabwe, wakulima wanaongoza utafiti wa kisayansi juu ya kilimo cha uhifadhi – maswala ya ulimwengu

Migren Matanga, mkulima mdogo kutoka Rushinga, ameshikilia moja ya mazao yake madogo ya nafaka. Mikopo: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (Bulawayo, Zimbabwe) Ijumaa, Mei 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bulawayo, Zimbabwe, Mei 9 (IPS) – Migren Matanga alikua akitoka mbali na nafaka ndogo na za jadi huko Rushinga, kaskazini mwa Zimbabwe….

Read More

Ifahamu tiba ya urejeshaji, mbadala mpya wa upasuaji wa urembo

Dar es Salaam. Huduma mpya ya tiba ya urejeshaji (Regenerative Medicine) inayohusisha matumizi ya seli shina za mwili wa binadamu, huenda ikawa mbadala kwa wanaohitaji upasuaji wa kurekebisha maumbile maarufu ‘plastic surgery.’ Tiba hiyo yenye umuhimu katika sekta ya afya na urembo, inayopatikana kuanzia Dola 200 (Sh 490,654) hadi 300 za Marekani (Sh735,981)  kwa kila…

Read More

Watoto 18 kutoka mazingira magumu wajifunza Kichina

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiingiza lugha ya Kichina kwenye mitaala ya masomo ili ifundishwe shuleni, tayari watoto wa Kitanzania wamefadhiliwa kusoma bure lugha hiyo. Watoto hao 18 wanaotoka katika mazingira magumu, wanafadhiliwa kujifunza lugha hiyo na Chama cha Mabuddha cha China kilichopo hapa nchini, ambapo wakimaliza itawawezesha kupata kazi ili wajikimu kimaisha. Hayo yamebainishwa…

Read More