Yanga kuweka kambi Ulaya | Mwanaspoti

IMEPITA misimu mitatu mfululizo Yanga ikijichimbia kambi ya maandalizi ya mpya mpya (pre season) ikiwa Avic Town, Kigamboni jijini Dar es Salaam, lakini safari hii huenda mambo yakabadilika baada ya klabu hiyo kupata mwaliko wa kwenda Ulaya kuweka kambi kujiandaa na msimu mpya. Klabu hiyo ambayo leo usiku inazindua kitabu kiitwacho Klabu Yetu, Historia Yetu, imepata…

Read More

Saa moja ya Zuchu jukwaani kwa Mkapa

Takriban saa nzima ya Zuhura Othuman maarufu Zuchu katika tamasha la Wiki ya Mwananchi imetosha kutoa burudani ya aina yake kabla ya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Bandari FC. Zuchu ametumia majukwaa manne tofauti akiimba nyimbo zake zaidi ya sita, huku akimrudisha jukwaani kwa mara ya pili D Voice kuimba naye…

Read More

Msaada mtoto aliyeshuhudia matukio yanayoumiza hisia

Ripoti ya mwaka 2017 iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ustawi wa Watoto (Unicef), ilibainisha kuwa mtoto anayeishi kwenye maeneo yenye matukio ya vurugu kama mapigano, milipuko ya mabomu au mauaji hupata madhara kadhaa ya kisaikolojia. Hata katika mazingira ambayo mtoto si mlengwa wa moja kwa moja na matukio hayo, ile kushuhudia damu,…

Read More

Chama la Wana laanza kujipata Ligi ya Championship

STAND United ‘Chama la Wana’ imeanza kunyanyuka taratibu na kupanda juu katika msimamo wa Ligi ya Championship baada ya kupitia changamoto mbalimbali ikiwamo ukata na kupokwa pointi na Bodi ya Ligi, hii imetokana na ushindi wa bao 1-0 nyumbani dhidi ya Barberian FC. Ushindi huo uliopatikana juzi katika mechi ya Ligi ya Championship kwenye Uwanja…

Read More