Chan 2024 kazi ipo huku sasa

MECHI mbili za robo fainali za michuano ya CHAN 2024 zimepigwa jana Ijumaa na leo zinapigwa nyingine za mwisho ili kujua timu zitakazoumana katika nusu fainali, lakini kuna kazi inaendelea kwenye michuano hiyo wakati wachezaji wa timu shiriki wakipambana kuwania tuzo za msimu huu. Kabla ya mechi za jana tayari mabao 74 kutoka kwa wachezaji…

Read More

Mlionunua tiketi za Dabi ujumbe wenu huu hapa

WAKATI mchezo wa Kariakoo Dabi ukiahirishwa, huku mashabiki wakiwa tayari wamekata tiketi swali lililopo ni watarudishiwa fedha zao au ndiyo wamepata hasara? Kufuatia maswali kuwa mengi nini kitafanyika, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe ametoa ujumbe uwafikie wale wote waliokata tiketi mapema akisema mfumo wa ununuaji ulisitishwa mchana, lakini wahusika wala wasiwe…

Read More

Mashambulizi ya Ukraine yaua wanne Russia

Moscow, Urusi. Mashambulizi ya Ukraine kwenye eneo la mpaka wa Urusi la Belgorod yamewaua watu wanne ndani ya saa 24 zilizopita.  Vyacheslav Gladkov ambaye ni Gavana wa eneo hilo amethibitisha leo Jumanne, Julai 9, 2024. Aidha, akinukuliwa na AFP, Meya wa Belgorod, mji mkuu wa eneo hilo, Valentin Demidov amesema hapo awali vikosi vya Ukraine…

Read More

TAHADHARI ZA KIUSALAMA ZICHUKULIWE MIGODINI.

Na Issa Mwadangala. Wafanyakazi wa Kampuni ya madini ya Makaa ya Mawe WAADHUHA (EA) TRADING COMPANY LIMITED iliyopo Kata ya Magamba Wilaya ya Songwe wametakiwa kujali usalama wao pindi wawapo kazini ili kujiepusha na majanga yanayoweza kuepukika. Kauli hiyo imetolewa Aprili 25, 2025 na Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi…

Read More

MSAIDIZI WA PUTIN ASEMA NATO NA NCHI ZA MAGHARIBI ZILIHUSIKA KUIVAMIA URUSI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Nikolai Patrushev, msaidizi wa karibu wa Rais Vladimir Putin, amedai kuwa NATO na nchi za Magharibi zilihusika katika kupanga uvamizi unaoendelea wa Ukraine katika eneo la Kursk. Taarifa hii iliripotiwa na gazeti la Urusi, Izvestia, na imekuwa sehemu ya ripoti ya shirika la habari la Reuters. Patrushev alieleza kuwa operesheni katika eneo la Kursk ilipangwa…

Read More

Bei za mafuta zapaa Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza kupanda kwa bei za mafuta isipokuwa mafuta ya taa pekee. Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa leo Novemba 8, 2025 kwa vyombo vya habari na kitengo cha uhusiano Zura, bei mpya zinaanza kutumika kesho Novemba 9, 2025. Katika taarifa hiyo ambayo kitengo cha…

Read More

TISEZA KURATIBU UWEKEZAJI WA TRILIONI 10 KWALA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uwekezaji na Mipango, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo; Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso; Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga; Naibu Waziri wa Nishati; Menejimenti ya TISEZA pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo Kongani ya Viwanda ya Kwala…

Read More

ALIYEKUWA MGOMBEA URAIS TLS AKATAA MATOKEO YA UCHAGUZI, ADAI UVUNJIFU WA KANUNI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika hali isiyotarajiwa, Sweetbert Nkuba, aliyekuwa mgombea wa urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), amekataa matokeo ya uchaguzi yaliyomtangaza mpinzani wake wa karibu, Mwabukusi, kuwa mshindi. Nkuba, ambaye alipoteza kwa zaidi ya kura 400 katika uchaguzi uliofanyika jana, anadai kuwa mchakato huo ulijawa na ukiukwaji mkubwa wa kanuni. Akizungumza na waandishi wa habari baada…

Read More