Asilimia 31 ya watoto Mara wanabeba mimba

Tarime. Asilimia 31 ya watoto wenye umri kati ya miaka 15 – 19 katika Mkoa wa Mara wanapata mimba za utotoni, jambo linaloelezwa kuwa na madhara katika ustawi wa watoto na jamii nzima mkoani humo. Hayo yamebainishwa leo Agosti 22, 2024 mjini Tarime na Mratibu wa Huduma za Afya na Uzazi na Mtoto Mkoa wa…

Read More

‘Serikali iangalie sera zisizo rafiki kwa wazalishaji’

Dar es Salaam. Serikali imetakiwa kuangalia sera zisizo rafiki kwa wazalishaji hapa nchini na iweke miundombinu rafiki ya barabara ili kurahisisha usafirishaji. Wito huo umetolewa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuni ya  Alaf Limited Tanzania,  Hawa Bayumi, baada ya  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko kutembelea banda la kampuni hiyo…

Read More

Hizi hapa sababu viongozi kukosa maadili

Unguja. Mwenyekiti wa Kigoda cha Karume, Eginald Mihanjo amesema kukosekana vyuo vinavyotoa mafunzo ya uongozi ndio chanzo cha kupata viongozi wasiokuwa na maadili na kufuata misingi bora wanapopata nafasi hizo. Hayo ameyasema leo Jumanne Oktoba 21,2025 wakati wa Kongamano la kitaaluma na uzinduzi wa hifadhi ya kidijitali ya Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid…

Read More

Mfano wa Odisha “Zero Leuralty” kwa Ustahimilivu wa Janga la Jamii-Maswala ya Ulimwenguni

Mvulana mdogo alikuwa amesimama mbele ya eneo lenye mafuriko huko Thuamul Rampur, Odisha, India. Makao ya maafa ni muhimu ili kuhakikisha maisha ya kawaida katika maeneo yanayokabiliwa na maafa. Mikopo: Picha za Pexels/Parij kupitia Escap Maoni Na Rajan Sudesh Ratna, Jing Huang na Sanjit Beriwal (Bangkok Thailand) Jumatatu, Oktoba 06, 2025 Huduma ya waandishi wa…

Read More

Teknolojia kuleta mapinduzi ya kilimo

Babati. Wadau wa kilimo nchini watanufaika na teknolojia ya ndege nyuki shambani, ikiwamo kunyunyizia dawa, kupanda mbegu, kupima maeneo na kusafirisha mazao, hivyo kuongeza tija katika kilimo. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni za Mati Group, David Mulokozi akizungumza mjini Babati mkoani Manyara, Septemba 4 mwaka 2025 amesema shughuli za kilimo kupitia ndege nyuki zitalenga kuongeza tija,…

Read More

Samia aendelea kusaka kura, abisha hodi Sumbawanga Mjini

Sumbawanga. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo Jumapili Oktoba 19, 2025 anaendelea na kampeni zake za kusaka kura na atahutubia mkutano utakaofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kizwite, Sumbawanga Mjini. Samia anatarajiwa kufanya mkutano mmoja, baada ya jana kufanya mikutano mitatu mkoani Katavi na Rukwa. Alianza kampeni…

Read More

Bashungwa amsweka ndani mkandarasi daraja Mpijichini

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Inocent Bashungwa ameagiza kukamatwa kwa mkandarasi anayejenga Daraja la Mpijichini lililopo Wilaya ya Kinondoni kutokana na kuchelewesha kazi. Mkandarasi huyo Panjianguang wa Kampuni ya China Railway Seventh Group (CRSG), anadaiwa kuchelewesha ujenzi wa daraja hilo lenye urefu wa mita 140 na barabara unganishi kilomita 2.3. Akizungumza leo…

Read More

Beki Azam atua Ulaya | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto raia wa Senegal, Cheick Sidibe amejiunga na klabu ya HJK Helsinki ya Finland akiwa mchezaji huru baada ya kuachana na matajiri wa Chamazi, Azam FC. Usajili huu unamfanya Sidibe kuwa mchezaji mpya wa kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu ya Finland, maarufu kama Veikkausliiga.  Sidibe amesaini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo,…

Read More