Fursa, changamoto kusitishwa mwendokasi Kimara na Mbagala
Dar es Salaam. Wakati usafiri wa mwendokasi ukisitishwa kwa muda katika barabara za Morogoro na Kilwa, baadhi ya abiria, madereva wa pikipiki, bajaji na daladala wameeleza fursa na changamoto zinazowakabili. Tangu Oktoba 29, 2025…