Honda Yazindua Toleo Jipya la Honda ACE 150

Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Honda Ukanda wa Afrika Kusini, Hideki Shinjo (kushoto) akiwaongoza baadhi ya wageni wa meza kuu kuzindua rasmi pikipiki aina ya ACE 150 Jinjini Dar es Salaam leo Oktoba 24,2024 Wengine kutoka Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Maderevena na Wamiliki wa Pikipiki Dar es Salaam, Mike Massawe ASP Rosemary Kitwala,…

Read More

Liwale kutumia ‘drone’ kufukuza tembo makazi ya watu

Liwale. Katika kukabiliana na changamoto ya wanyamapori waharibifu na wakali katika vijiji 64 kati ya 76 vilivyopo Liwale, Serikali kupitia Mamlaka ya Wanyapori Tanzania (Tawa) wamekuja na matumizi ya teknolojia ya ndege nyuki (drone) ili kuwadhibiti wanyama hao hasa tembo. Hayo yamebainishwa leo Mei 30, 2025 na Mhifadhi wa Wanyamapori Wilaya ya Liwale, Philipo Orio…

Read More

Naibu Waziri anena baada kushuhudia ufunguzi wa Maktaba ya kisasa Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga Ameishukuru Serikali ya marekani kupitia ubalozi wake hapa nchini kwa kudhamini kituoa cha kisasa cha Tehama katika Maktaba ya Dodoma kitakachotumika na watanzania kupata maarifa na stadi mbalimbali zitakazo wawezesha kutimiza ndoto zao Ametoa shukrani hizo 29 mei, 2024 Jijini dodoma alipohudhuria ufunguzi wa Maktaba…

Read More

Waarabu wataka mwingine Yanga | Mwanaspoti

WAARABU ni kama wamenogewa na mastaa wa Yanga. Wameanza na Stephane Aziz KI. Kiungo mshambuliaji huyo ametajwa kuwindwa na Wydad Casablanca mwishoni mwa msimu. Kisha Clement Mzize naye kutajwa kuwindwa na timu kadhaa za Kiarabu. Lakini mambo yakiwa hivyo, sasa inadaiwa, kiungo Duke Abuya ambaye amekiwasha sana, ameingia anga ya JS Kabylie ya Algeria iliyoanza…

Read More