Gen Z waliamsha tena, wamtaka Ruto ajiuzulu

Nairobi. Polisi katika Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi leo Julai 16, 2024 wametumia gesi ya machozi kuwatawanya waandamanaji wa Gen Z wanaopinga Serikali na kumtaka Rais William Ruto ajiuzulu. Kwa mujibu wa Aljazeera, majeruhi wameripotiwa Nairobi na sehemu nyingine, huku mwandamanaji mmoja ameripotiwa kuuawa huko Kitengela. Shirika la Habari la Reuters limeripoti kwamba polisi huko…

Read More

Wananchi waendelea kusisitiza rais apunguziwe madaraka

Arusha. Wananchi wameendelea kung’ang’ania kipengele cha kupunguza madaraka ya Rais kiwekwe kwenye Rasimu ya Katiba Mpya ikiwemo uwezo wa kuteua wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi wa halmashauri. Wakitaka  nafasi hizo ziombwe na wasomi waliopo nchini kupitia ofisi ya Tamisemi. Mbali na hilo, wamesema kuwa Rais aondolewe uwezo wa nafasi 10 za kuteua wabunge, Katibu wa…

Read More

Rasmi Fadlu afunuliwa faili la Bajaber

WAKATI mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kumuona Mohammed Bajaber akiichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza katika mechi za mashindano, kocha wa zamani aliyewahi kumnoa wakati akiwa Polisi Kenya, amempa ‘code’ kocha Fadlu Davids aweze kumfaidi vyema kikosini. Bajaber ni kati ya…

Read More

Kigogo TFF atia neno fainali CAFCC kuchezwa Zanzibar

SIMBA imerejea nchini ikitokea Morocco ilikopoteza mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane kwa mabao 2-0, lakini kuna taarifa moja ngumu ambayo hakuna namna lazima waichukue na kujipanga kuhusu pambano la marudiano la fainali hiyo. Kila shabiki wa Simba na mzalendo anatamani kusikia Wekundu hao hao wanapewa ruhusa…

Read More

Baleke, Boka wakoleza moto Yanga

YANGA kesho jioni itakuwa uwanjani kuvaana na Kagera Sugar, huku kocha wa kikosi hicho akichekelea kurejea uwanjani kwa mshambuliaji, Jean Baleke pamoja na beki Chadrack Boka walikosekana katika mechi nne zilizopita zikiwamo mbili za Ngao ya Jamii na za Ligi ya Mabingwa Afrika ikiing’oa Vital’O ya Burundi. Baleke alikosekana katika mechi nne wakati Boka alikosa…

Read More

SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA VIONGOZI WA DINI

::::::   WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inawaamini na inathamini mchango wa viongozi wa dini wa madhehebu yote.   Amesema serikali itaendelea kuimarisha ushirikiano kati yake na viongozi hao ili kujenga amani, mshikamano na ustawi wa jamii ya watanzania.   “Tunaamini mtaendeleza jukumu la kuwasihi watanzania waone umuhimu wa kila…

Read More

Utata askofu aliyedaiwa kujinyonga | Mwananchi

Dodoma. Utata umeibuka kuhusu  kifo cha Askofu Mkuu wa Makanisa ya Methodist, Joseph Bundala, baada ya ndugu kusema hakujinyonga kama ilivyosemwa na Jeshi la Polisi, ikidai alikuwa akipokea vitisho kabla ya kifo chake. Askofu huyo alikutwa amejinyonga ndani ya choo kwenye ofisi yake iliyopo katika kanisa hilo eneo la  Meriwa jijini Dodoma Mei 16, mwaka…

Read More

Othman: Vijana tambueni mambo mnayopigania

Unguja. Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud amewataka vijana wa chama hicho kutambua mambo wanayopambania na kuyasimamia bila kusahau kurejesha mamlaka kamili mikononi mwa Wazanzibari. Othman ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Desemba 9, 2024 wakati akifungua kongamano la vijana Mkoa wa Kati Unguja. “Mnarithi kijiti cha kuipambania nchi na kuendeleza hilo, ni…

Read More