Waliomuua, kukata uke wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Geita. Methali ya kusema “ukiua kwa upanga, utakufa kwa upanga” inaonekana kutimia baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, kuwatia hatiani na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa watatu waliohusika katika mauaji ya Joyce Lundeheka (51). Washtakiwa hao walikutwa na hatia ya kumuua Joyce kwa kumkata na kitu chenye ncha kali, kisha kukata sehemu za…

Read More

MAGRETH BARAKA AJITOSA UENYEKITI VIJANA FEMATA

Na Mwandishi wetu MKURUGENZI wa kampuni ya Mfuko wa Uwekezaji wa Madini wa Afrika (Africa Investment Fund) Magreth Baraka Ezekiel ametia nia ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa vija Taifa wa shirikisho la vyama vya wachimbaji madini nchini (FEMATA). Magreth ambaye ni Mkurugenzi wa mfuko huo wa AIF unaowaunganisha wawekezaji wa ndani na nje ya…

Read More

WASHIRIKI WA MAFUNZO IAWP WAPATA MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Baadhi ya washiriki wa Mafunzo kwa askari wakike ukanda wa Afrika IAWP ambayo yanaendelea Abuja Nchini Nigeria wamesema kutoka na changamoto kubwa kwa baadhi ya watu wengi wanaokabiliwa na Afya akili wanakwenda kupambana na changamoto hiyo kutokana mafunzo waliyoyapata. Akiongea mara baada ya Mafunzo hayo Julai 03,2024 Jijini Abuja Nchini Nigeria Naibu Kamishna wa Polisi…

Read More

Watu 16 waokolewa ajali ya mabasi Same

Moshi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema watu 16 wameokolewa katika ajali iliyotokea wilayani Same ikihusisha basi kubwa na dogo, ambayo yaliwaka moto . Amesema ajali hiyo iliyotokea leo Jumamosi Juni 28, 2025 imehusisha basi la abiria la Kampuni ya Channel One lililokuwa likitokea Moshi kwenda mkoani Tanga…

Read More

Shaba yawa adhimu, sekta ya madini ikipaa

Madini ya shaba yanazidi kuibuka kwa kasi kuwa fursa kubwa katika sekta ya madini Tanzania, huku kupanda kwa bei na mahitaji duniani kukiyaweka madini haya kama rasilimali ya kimkakati yenye uwezo wa kushindana na dhahabu katika kuchochea mabadiliko ya kiuchumi nchini. Pamoja na ukuaji wake mzuri katika soko la dunia, wataalamu wanasema Tanzania kihistoria imeweka…

Read More

Serikali yapata somo la mazingira shule za Aga Khan

Dar es Salaam. Walimu wa shule za awali, msingi na sekondari nchini Tanzania watapata mafunzo maalumu kuhusu utunzaji wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi katika masomo yao ya darasani. Hii ni sehemu ya maboresho ya mitaala ya mwaka 2023 yenye lengo la kuingiza masuala haya kwenye mitalaa ya shule. Hayo yameelezwa katika maonyesho ya programu…

Read More

LIGI KUU BARA LEO: Mechi za ubabe, rekodi

MSHIKEMSHIKE wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa 12 unaendelea leo kwa kuchezwa mechi tatu za kibabe na zilizobeba rekodi. Mchezo wa kwanza utakuwa saa 10:00 jioni na JKT Tanzania iliyopo nafasi ya 11 kabla ya mechi za jana na pointi zake 10, itaikaribisha Tanzania Prisons ilio nafasi ya 12 na pointi 10. Mchezo huu unaowakutanisha…

Read More