MGOMBEA URAIS UDP KUIPATIA CHATO MKOA MPYA

Mgombea urais kupitia chama cha UDP, Saum Rashid, akiomba kura kwa wananchi wa wilaya ya Chato. Wananchi wakiendelea kusikiliza sera za mgombea urais kupitia chama cha UDP …………… MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha United Democratic party (UDP), Saum Rashid, ameahidi kuipandisha hadhi wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya…

Read More

Lissu aitahadharisha Mahakama kuhusu afya yake mahabusu 

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameieleza Mahakama ya Rufani yuko katika hatari ya afya yake kuathirika zaidi kwa kushindwa kuhudhuria kliniki ya matibabu yake kutokana na kushikiliwa mahabusu kwa muda mrefu. Hivyo, ameiomba Mahakama hiyo kulisikiliza kwa dharura shauri la mapitio lililofunguliwa mahakamani hapo na Jamhuri dhidi yake kupinga uamuzi wa…

Read More

Lissu akwama tena kujinasua katika kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekwama tena kwenye jaribio la kujinasua katika kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kutupilia mbali sababu nyingine ya pingamizi lake. Hii ni mara ya pili kwa Lissu jitihada zake za kumaliza kesi hiyo kwa mbinu…

Read More

Fahamu Nchi 20 Zenye Jeshi Lenye Nguvu Zaidi Duniani 2026

Nguvu ya kijeshi kisasa haipimwi tu kwa kuhesabu askari. Inahusisha idadi ya wanajeshi, bajeti za ulinzi, teknolojia ya kisasa, uwezo wa kimkakati, na ushirikiano wa kijeshi. Mnamo mwaka 2026, majeshi yenye nguvu zaidi duniani yanaimarisha ushawishi wao wa kimataifa kupitia anga, baharini, mitandao ya kielektroniki, na ulinzi wa anga ya juu. Kulingana na Global Firepower…

Read More

Mgogoro wa kibinadamu ‘unazidi’ nchini Afghanistan wakati vita vinapozuka katika Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Mzozo wa Mashariki ya Kati unaongeza matatizo na ukosefu wa utulivu kwa Afghanistan huku bei ya bidhaa tayari ikipanda katika “uchumi ambao tayari ni dhaifu”, kulingana na Georgette Gagnon, Afisa Msimamizi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo.UNAMA), ambaye mamlaka yake yanasasishwa baadaye mwezi huu katika Baraza la Usalama. Wakati huo huo, njia ya…

Read More

Samia aahidi Pwani kuwa kitovu cha usafirishaji, viwanda

Pwani. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema akipata ridhaa ya miaka mitano mingine Serikali yake itajenga Bandari ya Bagamoyo na kuifanya Pwani kuwa kitovu cha usafirishaji na viwanda nchini. Samia amesema hayo leo Jumapili Septemba 28, 2025 wakati akihutubia mkutano wa kampeni mkoani Pwani katika Uwanja wa Mkuza wilayani Kibaha….

Read More

Tanesco yakamata watano kwa hujuma ya miundombinu Kahama

Shinyanga. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kanda ya Magharibi kwa kushirikiana na maafisa kutoka makao makuu, limewakamata wateja watano wanaodaiwa kuhujumu miundombinu ya shirika hilo kwa njia zisizo halali ikiwemo kuhamisha na kuchezea mita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Tukio hilo limebainika kupitia operesheni maalum ya ‘Baini wajibika Okoa Mapato (BAOMA), iliyoendeshwa na shirika hilo kwa…

Read More