MGOMBEA URAIS UDP KUIPATIA CHATO MKOA MPYA
Mgombea urais kupitia chama cha UDP, Saum Rashid, akiomba kura kwa wananchi wa wilaya ya Chato. Wananchi wakiendelea kusikiliza sera za mgombea urais kupitia chama cha UDP …………… MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha United Democratic party (UDP), Saum Rashid, ameahidi kuipandisha hadhi wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya…