WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI UANDIKISHAJI MPAPURA

Na Mwandishi wetu Mpapura Wananchi mbalimbali wamejitokeza kwa wingi siku ya kwanza ya uandikishaji wapiga kura uchaguzi wa Serikali za mitaa na Vijiji. “Sisi Wananchi wa Tarafa ya Mpapura tumehamasishwa sana ndio maana tumejitokeza kwa wingi kujiandikisha. Lakini pia maendeleo tuliyoletewa na Serikali yametuhamasisha tujiandikishe ili tukapige kura ya kuchagua viongozi bora watakao endelea kutuletea…

Read More

Dodoma Jiji yaua, Prisons sasa uhakika

MAAFANDE wa Tanzania Prisons imejihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara baada ya leo kupata sare ya 2-2 ikiwa ugenini mbele ya Namungo na kutuliza presha za mashabiki ambao mwanzoni mwa msimu waliishi kwa mawazo kutokana na timu kufanya vibaya. Matokeo hayo yameifanya Prisons kufikisha pointi 34 na kusalia nafasi ya tano nyuma ya KMC, hivyo…

Read More

Michezo na ukuaji wa uchumi Tanzania

Tanzania ni nchi yenye utamaduni mrefu na wa kina wa michezo. Kutoka soka, riadha, mpira wa wavu, na hata michezo ya asili, nchi yetu inaweza kujivunia rasilimali ya kitalentu ambayo inaweza kuwa msingi imara wa ukuaji wa kiuchumi. Lakini swali la msingi ni: Je, tunaweza kubadilisha sekta hiki na shauku ya watu wetu kwa michezo…

Read More

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI AWAFUNDA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA TANGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

  Na Oscar Assenga,TANGA. IKIWA zimesali siku chache kuingia kwenye uchaguzi Mkuu Octoba 29 Ofisi ya Vyama vya Msajili nchini imekutana naviongozi wa vyama vya siasa mkoani Tanga kwa lengo la kutoa elimu ya masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi kuhakikisha vinafuata sheria na kanuni zilizowekwa. Elimu hiyo ilifanyika leo kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la…

Read More

Jela miaka 30 kwa kubaka, kumpa ujauzito mwanafunzi

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Luth Jacobo (50), mkulima wa kijiji cha Mwanundi, kata ya Sengwa wilayani humo, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka 15 (jina linahifadhiwa) na kumsababishia ujauzito. Hukumu hiyo ilisomwa leo Jumanne, Septemba 9, 2025 na Hakimu Mkazi Mfawidhi…

Read More

Vijana kupenda ‘mishangazi’ ni zaidi ya kufuata fedha

Dar es Salaam. Ni msemo uliozoelekea mitaani kuwa wanawake wenye umri mkubwa ni benki za vijana. Ukiwa umejaa utani na kejeli, msemo huo unaakisi mitazamo ya kijamii kuhusu vijana wa kiume wanaopenda wanawake wanaowazidi umri. Wengi huamini vijana hao wanatafuta faraja ya kifedha, msaada wa kimaisha au hadhi, ikiwa ni utamaduni mpya uliojitokeza miaka ya…

Read More

Halmashauri Kibondo yatoa neno video ya muuguzi kuondolewa wodini kwa nguvu

Kigoma. Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo umefafanua kuhsu video iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha muuguzi wa hospitali ya wilaya hiyo akitolewa kwa nguvu na mlinzi wa Suma JKT ndani ya wodi ya wajawazito, hali iliyosababisha sintofahamu miongoni mwa wananchi na wagonjwa waliokuwa wodini. Video hiyo, iliyoanza kusambaa usiku wa kuamkia Agosti 31, 2025, ilimuonesha mhudumu…

Read More