WATUMISHI HOUSING YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI NANENANE MBEYA
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mauzo wa Watumishi Housing Investments (WHI), ndugu Raphael Mwabuponde, ameendelea kutoa elimu kuhusu uwekezaji wa pamoja kupitia Mfuko wa Faida (Faida Fund) kwa wananchi na wanafunzi mbalimbali wanaotembelea maonyesho ya wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika viwanja vya John Mwakangale mkoani Mbeya. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la WHI,…