AG, IGP kujitetea kesi ya waumini Kanisa la Gwajima

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imetoa siku 10 kwa wajibu maombi kuwasilisha utetezi wa maandishi katika shauri la Kikatiba lililofunguliwa na baadhi ya waumini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church. Shauri hilo la maombi mchanganyiko namba 16408 limefunguliwa na Dinali Mbaga na wenzake 51 dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali…

Read More

WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA OKTOBA 29

:::::::::  Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote wa umma walioko katika taasisi na mashirika ya umma kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Ofisi imesisitiza kuwa ushiriki wa watumishi wa umma ni sehemu muhimu ya kuimarisha misingi ya utawala bora, uwajibikaji na amani ya nchi…

Read More

Usiwajengee watoto mazingira kuja kuwalaumu

Canada. Ni wazazi wachache wanaofaidi matokeo mazuri ya malezi yao kwa watoto.  Hali hii inachangiwa na mambo mengi, ikiwemo mabadiliko ya nyakati, mitazamo potofu, na wakati mwingine ujinga wa kimakusudi.  Kila mzazi anatamani mtoto wake afanikiwe zaidi yake, lakini mara nyingi juhudi hizo huishia kuwaharibu watoto bila kukusudia. Dunia imebadilika, na wazazi wanapaswa kubadilika nayo….

Read More

Msisitizo wa amani watawala kuelekea uchaguzi

Dar/mikoani. Mjadala kuhusu utulivu wa kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 umeendelea kupewa uzito na viongozi kutoka nyanja mbalimbali nchini. Mada ya amani haijabaki kwenye mikutano ya kisiasa tu, imeingia ndani ya taasisi za kitaifa, vyombo vya dini, na hata kwenye maadhimisho ya kumbukumbu za Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Taasisi kadhaa…

Read More

Kesi ya waliojifanya waajiri Moro yapigwa kalenda

Morogoro. Kesi inayowakabili watu 14 wanaotuhumiwa kwa kujifanya maofisa wanaotoa ajira, wakiwakusanya vijana 48 kutoka sehemu mbalimbali nchini na kujipatia fedha kinyume na sheria, imeahirishwa hadi Aprili 24, 2025 itakapotajwa tena. Kesi hiyo inasikilizwa katika Mahakama ya Mwanzo mjini Morogoro (Nunge) ambapo katika hati ya mashtaka, watuhumiwa hao wanashtakiwa kwa kujifanya maofisa wenye mamlaka ya…

Read More

TANZANIA YAANZA VYEMA CHAN 2025

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu Tanzania (Taifa Stars) imeanza vizuri michuano ya CHAN 2025 baada ya kufanikiwa kuichapa Burkina Faso mabao 2-0 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo. Katika mchezo huo ambao ulitanguliwa na shamrashamra za sherehe za ufunguzi, Taifa Stars akiwa nyumbani uwanja wa Benjamini Mkapa…

Read More

Tujitazame upya wapi tulijikwaa | Mwananchi

Vurugu zilizotokea nchini siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29, 2025 zimeacha alama nzito katika historia ya Tanzania. Maisha ya watu yamepotea, wengine wamejeruhiwa, mali za umma na za binafsi zimeteketea kwa moto, huku miundombinu muhimu kama barabara, vituo vya mwendokasi, ofisi za Serikali na magari, mali za watu binafsi yakiwamo magari, vituo vya mafuta na…

Read More

Chalamila achimba mkwara mzito Kariakoo, aapa kuwaonesha ‘show’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewathibitishia wafanyabiashara waliofungua maduka leo Jumatatu licha ya kuwepo kwa mgomo kwa baadhi yao, kwamba atakayejaribu kuwafanyia vurugu atamuonesha ‘show’. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). “Yule atakayemletea mkwara aliyekubali kufungua, naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonyesha ‘show’ nzima. Kwa sababu mtu anakubali kufungua na…

Read More