NDERIANANGA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS IFAD

***** NA. MWANDISHI WETU BERLIN, UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bi. Gérardine Mukeshimana, katika kikao cha pembezoni mwa Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu Wenye Ulemavu…

Read More

Mtihani kesi ya Trump akisubiri kuapishwa

Wakati Rais mteule wa Marekani, Donald Trump akisubiri kuapishwa Januari 20, mwaka huu, bado anakabiliwa na uwezekano wa kuhukumiwa wiki hii kwenye kesi yake ya kumlipa kahaba, baada ya jaji kukataa kusitisha hukumu yake licha ya mawakili wake kukata rufaa. Katika kesi hiyo, Trump anatuhumiwa kumlipa Stormy Daniels ili kumziba mdomo kuhusu kuwapo kwa uhusiano…

Read More

Meridianbet Yawapeleka Wachezaji Kwenye Dunia ya Miungu Kupitia Mchezo Mpya – Gates of Olimpia

WAPENZI wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…

Read More