Kiama kwa waingiza simu feki Tanzania

Dar es Salaam. Serikali imetangaza kiama kwa wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa feki za mawasiliano kufuatia kuanzishwa kwa maabara ya uidhinishaji vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki. Maabara hiyo iliyo chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapima na kuhakiki sampuli za vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki kuthibitisha usalama wa matumizi kabla havijaingizwa nchini. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA,…

Read More

Trump apiga kampeni kwenye gari la taka taka

Donald Trump ameonekana akitumia njia za kipekee na zenye utata katika kampeni zake baada ya kuonekana kwenye Gari la Taka akiwa na ujumbe kwa Wapinzani wake wa Chama cha Democratic, Rais Joe Biden pamoja na Makamu wake Kamala Harris, Trump alishuka kwa mbwembwe kutoka kwenye Ndege yake binafsi akiwa na vesti ya usalama yenye rangi…

Read More

Hizi hapa njia za kumfanya mtoto awe na uelewa wa fedha

Katika dunia ya sasa ya kidijitali, kuwafundisha watoto kuhusu fedha inaweza kuonekana kama kazi ngumu. Lakini elimu ya fedha ni muhimu kufundishwa kwenye malezi ya watoto ili kutengeneza kizazi chenye kuwajibika kwenye misingi bora ya kifedha. Kutokana na hilo, leo tutaangalia njia saba za kuwalea watoto kwenye misingi imara ya kifedha. 1. Anza mapema na…

Read More

Namungo inavyoanza msimu mpya 2025/26 na malengo makubwa

WAUAJI wa Kusini, Namungo walikuwa na kambi ya wiki mbili jijini Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu, ambapo Mwanaspoti lilitinga kujionea namna nyota wa kikosi hicho wanavyojifua. Lakini, unaambiwa kazi haikuishia mazoezini tu, bali kuna mipango na mikakati mizito inasukwa kwa ajili ya kujenga upya ubora katika kupambania nembo ya…

Read More