Hizi ndiyo sababu za ACT-Wazalendo kukataa gari la INEC
Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban ameeleza kuwa chama hicho kimekataa gari lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya mgombea wao wa urais, Luhaga Mpina, kwa kuwa wanamini kuwa usafiri huo si kigezo cha uwanja sawa katika uchaguzi. Amesema sababu zilizotolewa za INEC kuwa lengo la…