Mtibwa Sugar yapeleka mechi zake Jamhuri Dodoma

Kufuatia Uwanja wa Manungu Complex uliopo Morogoro kutokukidhi vigezo vinavyotakiwa ili utumike kwenye michezo ya Ligi Kuu Bara, Mtibwa Sugar imeuchagua Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa mechi za nyumbani za Ligi Kuu Bara. Mtibwa Sugar iliyorejea Ligi Kuu Bara msimu huu, imeanza kwa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Mashujaa ikiwa ugenini. …

Read More

Sh800 bilioni zitakavyomaliza tatizo la umeme Zanzibar

Unguja. Huenda mwarobaini wa kata, washa ya umeme, ikapatikana baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuwekeza Sh800 bilioni katika miundombinu hiyo. Zanzibar inapokea umeme kupitia waya za baharini kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Kwa upande wa Unguja, zipo waya mbili, moja ya megawati 45 iliyowekwa mwaka 1980 na imeshatumika hadi kufikia asilimia…

Read More

KITILA AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI UBUNGO

Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais–Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akimzungumza wakati wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge kwa kushirikiana na Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki (EACLC) ****** Na Mwandishi Wetu. Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Wala rushwa katika sura ya hisani

Mtu wa Pwani anaweza kuuliza swali linalofanana na jibu: “Hapo pajani pajani?” Kama anayeulizwa ni wa kutoka bara anaweza kujibu: “Sasa kumbe ulifikiria pajani ni gotini?” Lakini kumbe anakuwa hajaelewa kabisa mwenzake anaulizia nini. Swali ni: “Hapo kwenye paja panakuja nini? Ni kama mtu aliyeona dalili ya kitu kisicho cha kawaida (labda kipele hivi) kwenye…

Read More