DC Mwangwala Elimu ya Kodi Itasaidia Taifa

Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala akizungumza na maafisa Forodha kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania, hivi karibuni wakati maafisa hao walipofika wilayani hapo katika ziara ya siku moja kwa ajili ya kutoa elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara na Wananchi kwa ujumla. MKUU wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala, amesema kuwa endapo wananchi wataelewa…

Read More

WANANCHI KUPATA VIBALI NA LESENI BILA KUFIKA OFISINI-EWURA

  Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt. James Andilile (kulia), akizungumza na watumishi wa Mamlaka hiyo wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja uliofanyika leo Oktoba 6,2025  katika ofisi za EWURA jijini Dodoma. Na.Mwandishi Wetu-DODOMA MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imerahisisha upatikanaji wa vibali, leseni na utatuzi wa malalamiko…

Read More