Simba yavunja ukimya hatma ya Chama

Wakati taarifa zikizidi kuenea kwamba kiungo mkongwe wa Simba, Clatous Chama amesaini Yanga, uongozi wa Simba umetoa kauli juu ya Mzambia huyo. Msemaji wa Simba, Ahmed Ally amesema Chama amemaliza mkataba na klabu hiyo na kwamba kinachoendelea sasa ni mazungumzo ya kutafuta namna ya kumuongezea mpya. Ahmed amesema, kama haitafanikiwa kumuongezea Simba itatafuta namna ya…

Read More

JB ATANGAZA FURSA KWA WAIGIZAJI 85 – MWANAHARAKATI MZALENDO

#FURSA Mwigizaji mahiri wa Filamu nchini Jacob Steven (@jb_jerusalemfilms ) kupitia Kampuni yake ya Jerusalem Pictures ametangaza nafasi 85 za Waigizaji wapya katika Kampuni hiyo, ambao watapatikana kwa kufanyiwa usaili, tarehe07, August, 2025 eneo la Rungwe Hotel Afrikana Dar es Salaam. Nafasi kwa Wanaume ni 25, Wanawake 40, Wazee 20, kwa wenye Umri Miaka 18…

Read More

RAIS SAMIA I LOVE YOU HALAFU NAKUPENDA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV  KUNA mambo lazima tuzungumze japo kwa lugha yoyote ambayo unaweza kuitumia lakini ikasaidia kufikisha ujumbe kwa uliowakusudia na hasa Watanzania wenzangu. Leo kuna jambo nataka kulisema,kulizungumza,kuna jambo nataka kulisimulia.Nikuombe kama uko tayari usome kuanzia mwanzo mpaka mwisho, kama unadhani hutaweza ni bora usisome. Kwanza sijakuandikia wewe.Iloooo. Sasa ndugu yangu, rafiki…

Read More

Simba yaingilia Kwa Mkapa mlango sio

KIKOSI cha Simba kimekuwa cha kwanza kuwasili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika pambano la timu hiyo dhidi ya watani zao Yanga huku ikitumia mlango usiokuwa rasmi wa kubadilishia nguo (Dressing Room). Mechi hiyo ya Dabi ya Kariakoo kati ya timu hizo inayotarajiwa kupigwa kuanzia saa 11:00 jioni, imeshuhudia msafari wa Simba ukiwasili mapema Saa…

Read More

Tanzania yapewa miezi sita kufuta adhabu ya kifo

Arusha/Dar es Salaam. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) kwa mara nyingine imeiamuru Serikali ya Tanzania kufuta adhabu ya kifo kama sharti la lazima kwenye sheria zake, huku ikiipa miezi sita kuanzia sasa kutekeleza amri hiyo. Mahakama hiyo imetoa amri hiyo katika hukumu iliyoitoa Juni 4, 2024 kutokana na shauri la…

Read More

MAGEUZI YA ELIMU YATAWEZESHA VIJANA KUCHANGIA MAENDELEO ENDELEVU

     Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali inawetegemea wanasayansi na wahandisi ili kufanikisha dhamira ya Tanzania ya kujenga uchumi wa viwanda, amesisitiza kuwa kundi hilo lina mchango katika kuendeleza ubunifu, kuongeza tija na kuleta maendeleo endelevu nchini. Prof. Mkenda amesema hayo Disemba 5, 2025 jijini Dar es Salaam…

Read More