Kimbunga, mvua kubwa mikoa 20 yatarajiwa usiku wa leo

Dar es Salaam. Wakati hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya mikoa ya ukanda wa Pwani na Kusini unaosababishwa na kimbunga Hidaya, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imesema mvua zinatarajia kunyesha katika maeneo mbalimbali kuanzia usiku wa leo. Taarifa ya TMA ya saa 24 zijazo imeonyesha mikoa 20 inatarajiwa kupata mvua kuanzia…

Read More

Reli ya Kaskazini kuboreshwa | Mwananchi

Arusha. Serikali imesema ipo mbioni kufanya maboresho makubwa ya reli ya Kanda ya Kaskazini kwa lengo la kupunguza msongamano wa malori ya mizigo yanayopita katika Jiji la Arusha kutokea Bandari ya Tanga. Aidha imesema kumekuwa na msongamano mkubwa wa malori hayo yanayoelekea nchi jirani na kusababisha kero kubwa kwa watumiaji wa barabara. Hayo yamesemwa leo…

Read More

WACHIMBAJI WADOGO SIMIYU WAMUUNGA MKONO DK.SAMIA

MKUU wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anatatua kero mbalimbali zinazowakumba wachimbaji wadogo wa madini katika mkoa huo wa Simiyu. Akizungumzia katika mkutano wake na wachimbaji wadogo wa madini Mkoa wa Simiyu, Kihongosi amesema changamoto kubwa iliyokua inaikabili kada hiyo ni ukosefu…

Read More

Waandamanaji wanakabiliwa na usalama kama wanaharakati wa COP30 unavyozidi-maswala ya ulimwengu

Wajumbe wa CST UIT-qi, ambayo inahusu Corrente Societysta dos Trabalhadores (CST) au mnyororo wa ujamaa wa wafanyikazi, wakipinga Jumanne usiku nje ya ukumbi wa COP30. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Belém, Brazil) Jumatano, Novemba 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BELém, Brazil, Novemba 12 (IPS) – Katika kuondoka kutoka kwa askari wawili waliopita,…

Read More